Kama mnajua Sumaye na Lowassa walikuja Chadema kuibomoa, kwanini mnaendelea kumtukana Dkt. Slaa?

Kama mnajua Sumaye na Lowassa walikuja Chadema kuibomoa, kwanini mnaendelea kumtukana Dkt. Slaa?

Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
Kinana na makamba wamehojiwa?
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
Yule mzee msaliti tu, hadith yake haina tofafuti na hadithi ya Samson na delila,

Yaani mwanaume tena umri wa babu unadangaywa na kademu unakubali
 
Dr. Slaa hajawahi kujiunga tena au kurudi CCM alipotoka CDM. Maneno hayo ameniambia mwenyewe kwa kinywa chake October 2019 nilipokutana naye mahali.

..mienendo na kauli zake zikoje?
 
MLETA UZI NAPENDA KUKU JULISHA KUWA BABU SLAA SIO CHADEMA ORIGINAL. BABU SLAA ALIKUWA CCM ALIHAMIA CHADEMA BAADA YA JINA LAKE KUKATWA KWENYE KURA ZA MAONI. ALIKUWA ANA ONGOZA KWENYE KURA ZA MAONI KUGOMBEA JIMBO LA KARATU. BAADA YA KUKATWA JINA KWA HASIRA AKA HAMIA CHADEMA. BABU SLAA ALIKUJA CHADEMA KWA MASLAHI YAKE BINAFSI. BABU SLAA HANA UZALENDO WOWOTE ULE ZAIDI YA KUJALI TUMBO LAKE JAPO MWENYEWE ANA JIONA YUKO PERFECT KAMA MALAIKA ALIYETOKA MBINGUNI.

BABU SLAA NI MUONGO NA MZANDIKI. KWA HIYO HAKUNA CHA AJABU BABU SLAA KURUDI CCM. HAYO MENGINE NI PROPAGANDA, NA UPOTO SHAJI.KWA LEO NAISHIA HAPA.
 
Yeye dr mihogo kama hakuwa na hamu na CCM tokea awali kwa nini hakutumia nafasi yake kama katibu mkuu wa chama akamshawishi mwenyekiti wake pamoja na viongozi wengine juu ya kuachana na mpango wa hayo makapi ya CCM? Ukweli ni kuwa huyu Dr mihogo ni mnafiki na mwenye njaa kali sana. Alikuwa ni mmoja wa wapanga mikakati na wanaccm kule lumumba akishirikiana na Prof Lipumba kuihujumu UKAWA katika uchaguzi 2015.
Sawa...Makubaliano yenu na MEMBE yamefikia wapi Mkuu!?


Typed Using KIDOLE
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
MASIKINI HANA SIASA, ANA NJAA TU. CCM WALIFANYA YAFUATAYO MPAKA SUMAYE AKANYOOKA.
1. MASHAMBA KULE KILOSA WALICHUKUA.
2. SHAMBA LILILOKO BOKO WALICHUKUA. ALIKUWA ANASHINDA BARAZA LA ARDHI PALE WAZO MPAKA ANATIA HURUMA.
KILICHOFUATA KANYOOKA MAZIMA, CHEZEA NJAA WEWE.
 
Shida aliyefanya maamuzi inaaminika huwa hakosei si kwamba hawajui kuwa walipuyanga.

Wanajikakamua tu kumtukana Slaa ila nafsi zinawasuta "kishenzi"!
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa

Kama wote watatu wamenunuliwa je?[emoji12].Fikiri nje ya box.Kila mmoja ana bei yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?

Dr. Slaa alikuwa sahihi kujiengua Chadema kwa ujio wa hawa watu tena afadhali ata wangekuwa wanachama tu kuliko kumpa ugombea urais, mpaka hapa tuamini siasa ni itikadi japo wengine wameigeuza kuwa biashara.
idawa
Shida ya Dkt Slaa ni moja tu. Chama alichokijenga kwa nguvu nyingi alipotofautiana nacho alianza kukibomoa. Ilitosha kujiweka pembeni na kutulia asubiri wakati kuwa shahidi. Hivi vinywa vinaumba mengi. Usisahau lengo kuu la kwanza la chama chote cha siasa ni kushika madaraka ya nchi. Shida ni kuwa ni kwa vipi watayapata hayo madaraka, na hapo ndipo penye mgogoro. Sio kwali kwamba CCM wanapenda kupata madaraka kwa njia za wizi, ila ndio njia pekee iliyo rahisi kwao. Hivyo kumpokea Lowassa au awaye yote haingekuwa shida kama angerahisisha safari ya kuyafikia madaraka ya nchi. Kumbuka hii ni safari ya kwenda Ikulu na siyo safari ya kwenda Mbinguni.
 
Siasa za vyama vya upinzani ni zaidi ya Comedy! Siku zote walikuwa wakimtusi Dr Slaa kuwa alinunuliwa, alisaliti chama wakati muhimu na maneno kedekede ya kebehi, lakini mpaka jana mwenyezi Mungu alituonesha unafiki wa upinzani katika siasa zetu! Eti leo wanatuaminisha SUMAYE na LOWASA walitumwa na CCM kuja kuibomoa CHADEMA! Sasa kama mnajua hilo kwann mnaendelea kumkebehi Dr Slaa?
Tatizo lako kubwa Mpinzire ni kwamba ama ni mzuka wa utoto au ni ujinga. Utoto ni kwa kutojua historia ya mapambano ya kudai mabadiliko na kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini. Ujinga ni kutojua Dr. Slaa aliingiaje Upinzani huku hakushiriki kabisa katika vita hivyo na kitu gani kilimkimbiza huko kwao CCM hadi akatua Chadema!.

Dr Saa aliikimbia CCM baada ya jina lake kukatwa na Chadema ikampa hifadhi na kumteua agombee katika nafasi ile ile aliyokuwa akiitaka. Hivyo hivyo Lowassa aliikimbia CCM baada ya jina lake kukatwa na Chadema ikampa hifadhi na kumteua agombee katika nafasi ile ile aliyokuwa akiitaka. Je tofauti ya hawa walafi wawili iko wapi?

Yawezekama Chadema ilifanya makosa katika kuwapokea lakini ukweli ni kwamba hawa watu wawili ni ndege wafananao na hivyo huruka pamoja na wamerudi nyumbani kwao. Curses are like young chickens, they will always come back home to roost! Unakumbuka orodha ya mafisadi 17? Kwa ufahamisho, ukiondoa marehemu, wote sasa wamerudi nyumbani.

Walipotapakaa huko na huko, walikuwa wanatupa shida sana katika kuwajadili na hasa sisi tusio na vyama lakini maadamu sasa wote wako pamoja (all bad eggs in one basket) ni wakati murua wa kupambana nao kwani kapu likidondoka mayai yote kwishnei, hakutabakia tena na hivyo safari hii pigo tu moja litatosha.
 
Tatizo lako kubwa Mpinzire ni kwamba ama ni mzuka wa utoto au ni ujinga. Utoto ni kwa kutojua historia ya mapambano ya kudai mabadiliko na kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini. Ujinga ni kutojua Dr. Slaa aliingiaje Upinzani huku hakushiriki kabisa katika vita hivyo na alikuwa anakimbia nini huko kwao CCM!.

Dr Saa aliikimbia CCM baada ya jina lake kukatwa na Chadema ikampa hifadhi na kumteua agombee katika nafasi ile ile aliyokuwa akiitaka. Hivyo hivyo Lowassa aliikimbia CCM baada ya jina lake kukatwa na Chadema ikampa hifadhi na kumteua agombee katika nafasi ile ile aliyokuwa akiitaka. Je tofauti ya hawa walafi wawili iko wapi?

Yawezekama Chadema ilifanya makosa katika kuwapokea lakini ukweli ni kwamba hawa watu wawili ni ndege wafananao na hivyo huruka pamoja na wamerudi nyumbani kwao. Curses are like young chickens, they will always come back home to roost!Unakumbuka orodha ya mafisadi 17. Kwa ufahamisho, ukiondoa marehemu, wote wamerudi nyumbani.
Na kikubwa ni kuwa Dr. Slaa alishiriki katika hatua zoooote za mchakato wa kumpokea Lowasa,ila alizidiwa makarama na Josephine. Na hii nayo ni udhaifu mkubwa kwake kwani hata angekuwa Rais angekuwa anayumbishwa na mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom