Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mkuu una maumivu sana..[emoji28]Haishtui...
HahahahaMkuu una maumivu sana..[emoji28]
Hivi wakati unachezea kichapo Cha Azam,mfungaji wenu bora alikuwepo?Kufungwa na timu ambayo jumamosi ilikuwa imekesha kushangilia ubingwa wakati nyie mko Tanga mkiendelea na maandalizi ni uj...ha wa hali ya juu, mmechezesha kikosi chenu chote mlichomfunga Simba kule mtwara, wenzenu hawana Mayele halaf bado wanawasumbua, mmecheza utafikiri mko ndondo cup, mmekuwa walaini.
Kally Ongara maneno mengi akijifanya mjeuri na ana uwezo wa kuikabili Yanga kumbe mwepec kabisa.
Hakuna cha Bajana, Akaminko, Dube, Mbombo wala Sopu, muongezeni hata Feitoto bado mngekufa t
Tulia mkuu na relaxKufungwa na timu ambayo jumamosi ilikuwa imekesha kushangilia ubingwa wakati nyie mko Tanga mkiendelea na maandalizi ni uj...ha wa hali ya juu, mmechezesha kikosi chenu chote mlichomfunga Simba kule mtwara, wenzenu hawana Mayele halaf bado wanawasumbua, mmecheza utafikiri mko ndondo cup, mmekuwa walaini.
Kally Ongara maneno mengi akijifanya mjeuri na ana uwezo wa kuikabili Yanga kumbe mwepec kabisa.
Hakuna cha Bajana, Akaminko, Dube, Mbombo wala Sopu, muongezeni hata Feitoto bado mngekufa t
Ahueni tumepata kiatu cha ufungajj bora. Polisi Tanzania na Coastal wametuondolea aibu.Haishtui...