Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kufungwa na timu ambayo jumamosi ilikuwa imekesha kushangilia ubingwa wakati nyie mko Tanga mkiendelea na maandalizi ni uj...ha wa hali ya juu, mmechezesha kikosi chenu chote mlichomfunga Simba kule mtwara, wenzenu hawana Mayele halaf bado wanawasumbua, mmecheza utafikiri mko ndondo cup, mmekuwa walaini.
Kally Ongara maneno mengi akijifanya mjeuri na ana uwezo wa kuikabili Yanga kumbe mwepec kabisa.
Hakuna cha Bajana, Akaminko, Dube, Mbombo wala Sopu, muongezeni hata Feitoto bado mngekufa t
Kally Ongara maneno mengi akijifanya mjeuri na ana uwezo wa kuikabili Yanga kumbe mwepec kabisa.
Hakuna cha Bajana, Akaminko, Dube, Mbombo wala Sopu, muongezeni hata Feitoto bado mngekufa t