kama mnavyojua kuku mgeni anahitaji banda na kamba mguuni!!!!!

kama mnavyojua kuku mgeni anahitaji banda na kamba mguuni!!!!!

Hahahahaaaaa!!!! teh teh teh !!!! asantee sanaa vipi zinginee unazoo hukoo au umetunza kwenyee sandukuuuu Globu.
Karibu na ID yako ya Kumi na nane hii.
 
Last edited by a moderator:
unapumzika umechoshwa na nini mtoto wa kike? huyo mume si ni part time tu, angekuwa mumeo ndo angekuhosha. na si uko jobless?
watoto wetu hawajambo lakini?

Acha ufala wewe, mi sio jobless ka wewe. Nina biashara zangu na zinalipa kuliko kazi yako ya kitumwa.
 
Back
Top Bottom