Kama mnayoyasema ni kweli, basi muombeni msamaha marehemu Benard Membe

Kama mnayoyasema ni kweli, basi muombeni msamaha marehemu Benard Membe

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ametutoka huyu mwamba na sauti zinasikika kutoka pande zote za nchi ya kwamba huyu mtu alikuwa hazina ya taifa ni kweli.

Inawezekana alikuwa hazina lakini kwa makusudi mliamua kumpuuza..membe kama kweli hizo sifa mnazompa ndizo basi mliamuaje kumpiga benchi kijana wa kitanzania na mwanadiplomasia mbobezi namna hii?

Kwanini mlimuacha nje ya mfumo wa kiutawala na hali mnakiri kwamba alikuwa hazina kwa taifa? 2015 mlisema hafai kuwa rais na mkatuletea mtu aliyetufanya tuione nchi hii ni mlango wa kuzimu?

Membe CCM ilimtupa kinyama sana japo jakaya alimpigania na hakuweza ..mkamuacha mtu mnaemmwagia sifa zote hizi abaki anapambana na akina msiba mahakamani?

Mmemnyanyasa sana Benard hamstahili kumsifia Bali kumuomba msamaha kwa yote mliyomfanyia huyu comred!
 
Ametutoka huyu mwamba na sauti zinasikika kutoka pande zote za nchi ya kwamba huyu mtu alikuwa hazina ya taifa ..ni kweli inawezekana alikuwa hazina lakini kwa makusudi mliamua kumpuuza..membe kama kweli hizo sifa mnazompa ndizo ..basi mliamuaje kumpiga benchi kijana wa kitanzania na mwanadiplomasia mbobezi namna hii?? Kwa nini mlimuacha nje ya mfumo wa kiutawala na hali mnakiri kwamba alikuwa hazina kwa taifa ? 2015 mlisema hafai kuwa rais na mkatuletea mtu aliyetufanya tuione nchi hii ni mlango wa kuzimu? Membe ccm ilimtupa kinyama sana japo jakaya alimpigania na hakuweza ..mkamuacha mtu mnaemmwagia sifa zote hizi abaki anapambana na akina msiba mahakamani? Mmemnyanyasa sana benard hamstahili kumsifia Bali kumuomba msamaha kwa yote mliyomfanyia huyu comred!
Kila nafsi itaonja mauti,alifurahia kifo cha Magufuli leo kaungana nae,kazikwe nae huko rondo
 
Ametutoka huyu mwamba na sauti zinasikika kutoka pande zote za nchi ya kwamba huyu mtu alikuwa hazina ya taifa ni kweli.

Inawezekana alikuwa hazina lakini kwa makusudi mliamua kumpuuza..membe kama kweli hizo sifa mnazompa ndizo basi mliamuaje kumpiga benchi kijana wa kitanzania na mwanadiplomasia mbobezi namna hii?

Kwanini mlimuacha nje ya mfumo wa kiutawala na hali mnakiri kwamba alikuwa hazina kwa taifa? 2015 mlisema hafai kuwa rais na mkatuletea mtu aliyetufanya tuione nchi hii ni mlango wa kuzimu?

Membe CCM ilimtupa kinyama sana japo jakaya alimpigania na hakuweza ..mkamuacha mtu mnaemmwagia sifa zote hizi abaki anapambana na akina msiba mahakamani?

Mmemnyanyasa sana Benard hamstahili kumsifia Bali kumuomba msamaha kwa yote mliyomfanyia huyu comred!
Kutoka pande zote za wapi? Labda wezi ndio wanatoa kauli hizo. Mwananchi wa kawaida Tanzania hajaathirika na chochote na kudondoka kwa mbobezi wa kikundi fulani. Mheshimuni Mungu tafadhali
 
Fisadi huyo alikuwa ogopa matapeli
Watu kama nyie NDIO mnao letaga chuki na machafuko......

For sure ukikutana na ndugu au mtu mwenye akili mbovu anaweza akatamani akukate miguu na hiyo mikono yako yote miwili inayo kufanya kutoa kebehi na lugha za maudhi kwenye Kila thread.....

Wakati mwingine hatuna budi kusoma na kupita kimya kimya haina haja kumdhihaki marehemu Kwa kejeri na dhihaka zisizo kua na maana....

Ukiona vyema nitukane na Mimi...
 
Ametutoka huyu mwamba na sauti zinasikika kutoka pande zote za nchi ya kwamba huyu mtu alikuwa hazina ya taifa ni kweli.

Inawezekana alikuwa hazina lakini kwa makusudi mliamua kumpuuza..membe kama kweli hizo sifa mnazompa ndizo basi mliamuaje kumpiga benchi kijana wa kitanzania na mwanadiplomasia mbobezi namna hii?

Kwanini mlimuacha nje ya mfumo wa kiutawala na hali mnakiri kwamba alikuwa hazina kwa taifa? 2015 mlisema hafai kuwa rais na mkatuletea mtu aliyetufanya tuione nchi hii ni mlango wa kuzimu?

Membe CCM ilimtupa kinyama sana japo jakaya alimpigania na hakuweza ..mkamuacha mtu mnaemmwagia sifa zote hizi abaki anapambana na akina msiba mahakamani?

Mmemnyanyasa sana Benard hamstahili kumsifia Bali kumuomba msamaha kwa yote mliyomfanyia huyu comred!
Nchi haijawahi kuonekana mlango wa kuzimu.

Kikwete alikua sahihi kumleta Magufuli.

Baada ya mwalimu, mtu alieifanyia hii nchi yetu mambo makubwa ni Magufuli.

Itachukua miaka mingi kuja kupata mtu kama Magufuli tena.
 
Kamwombe makamba akuingize kwenye list ya wasiokufa Tanzania
Watu kama nyie NDIO mnao letaga chuki na machafuko......

For sure ukikutana na ndugu au mtu mwenye akili mbovu anaweza akatamani akukate miguu na hiyo mikono yako yote miwili inayo kufanya kutoa kebehi na lugha za maudhi kwenye Kila thread.....

Wakati mwingine hatuna budi kusoma na kupita kimya kimya haina haja kumdhihaki marehemu Kwa kejeri na dhihaka zisizo kua na maana....

Ukiona vyema nitukane na Mimi...
 
Back
Top Bottom