The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Nikikubaliana na wewe, 1. Nyerere, 3. Mkapa, 5. Magufuli. Hapo tutegemee 7 ndio atatuokoa tena.Ben Mkapa pia alifanya makubwa sana katika Nchi hii pia. Nadhani baada ya Nyerere ni Ben Mkapa
Hawa ndugu zetu wa 2, 4 na 6, anyway ngoja nisiseme chochote.