Kama Mo kajiuzulu amepata wapi Mamlaka ya kuteua?

Kama Mo kajiuzulu amepata wapi Mamlaka ya kuteua?

Mambo ya hisa yana complications sana si marahisi kuyaelewa juu juu.

Mfano Hisa zinaweza kugawanya kwenye class, kama Class A NA B
-Class A ikawa na 10 voting rights
-Class B ikawa na 1 voting rights.

Hivyo kukawa na mtu anamiliki asilimia 20 ya Class A shares
Then watu milioni 1 wanamiliki class B asilimia 80 ya hisa.

Ina maana hapo mwenye Asilimia 20 ana kura 200 na asilimia 80 ana kura 80, chochote atakachosema mwenye Kura 200 hata waungane hao milioni 1 hawawezi kukitengua.

Mpaka ujue ni aina gani za hisa wanamiliki huwezi kufanya conclusion.
Kwani serikali kusema wanachama wabaki na 51 lengo si lilikuwa kuwapa mamlaka ili team isiangukie kwa MTU mmoja
 
Kwani serikali kusema wanachama wabaki na 51 lengo si lilikuwa kuwapa mamlaka ili team isiangukie kwa MTU mmoja
hizo class za share zipo kwenye votings rights wakati wa kufanya maamuzi. ila hazibadilishi umiliki wa timu. anyway nimeongea tu unaweza kuta kibongo bongo hakuna hata hizo class.
 
hizo class za share zipo kwenye votings rights wakati wa kufanya maamuzi. ila hazibadilishi umiliki wa timu. anyway nimeongea tu unaweza kuta kibongo bongo hakuna hata hizo class.
Mkuu wakubalie tu utapungukiwa nini? Utopwinyo wanatuambia tumetapeliwa hatuna akili tumtimue MO ili tukae poa tufanye vizuri kimataifa kama wao, wakubalie tu hawa watu wana sononeko kuu la miaka 4 MO kawafanya vibaya sana wanatamani hata afe
 
Back
Top Bottom