Tukiwaambia nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana muwe mnaelewa jamani! Maana kuna watu kabisa uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.
During that regime kila mwekezaji alikuwa anaogopa na wengine walifirisiwa kabisa ama moja kwa moja au kwa kuchukua pesa kwenye akaunti zao, mfano Nimrodi mkono ambaye alipararaize kabisa akawa hatoki ndani tena pale masaki. Sasa nani angeweza kuja kuwekeza Tanzania kipindi hicho kama matajiri wanatekwa kirahisi rahisi tu wakati ndio mlipaji mkubwa wa Kodi.
Ambaye kidogo alikuwa safe ni kapuku ambaye alikuwa hana threat yoyote kwa yule bwana. Ndio maana ukazalishwa msemo kwamba ni Rais wa wanyonge kwa sababu tu makapuku hawana effect kwake na kwenye Urai wake. Japo baadae ingekuwa disaster mana machinga halipi Kodi au Kodi yao ni ndogo kabisa.
Imagine kila mtu hasa tajiri alikimbia nchi, kama akina M owe nk. Sasa hii nchi ingesonga mbele kwa miujiza gani bila ya kuwa na potential investors ambao wanalipa Kodi? Imagine Marekani waanze kuwateka akina Elon Musk, Bilgate nk, si ndio utakuwa mwisho wa wa economic giantism ya Marekani!
During that regime kila mwekezaji alikuwa anaogopa na wengine walifirisiwa kabisa ama moja kwa moja au kwa kuchukua pesa kwenye akaunti zao, mfano Nimrodi mkono ambaye alipararaize kabisa akawa hatoki ndani tena pale masaki. Sasa nani angeweza kuja kuwekeza Tanzania kipindi hicho kama matajiri wanatekwa kirahisi rahisi tu wakati ndio mlipaji mkubwa wa Kodi.
Ambaye kidogo alikuwa safe ni kapuku ambaye alikuwa hana threat yoyote kwa yule bwana. Ndio maana ukazalishwa msemo kwamba ni Rais wa wanyonge kwa sababu tu makapuku hawana effect kwake na kwenye Urai wake. Japo baadae ingekuwa disaster mana machinga halipi Kodi au Kodi yao ni ndogo kabisa.
Imagine kila mtu hasa tajiri alikimbia nchi, kama akina M owe nk. Sasa hii nchi ingesonga mbele kwa miujiza gani bila ya kuwa na potential investors ambao wanalipa Kodi? Imagine Marekani waanze kuwateka akina Elon Musk, Bilgate nk, si ndio utakuwa mwisho wa wa economic giantism ya Marekani!