mzigo huu ushachacha, putin alijua watasalim amri ili aanzishe mazungumzo kwa terms zake ila jamaa hawataki pia kitendo cha china kuabstain UNSC Hakijaleta picha nzuri kwa putinNahisi kabisa kule mpakani Russia alipoingia kirahisi bila upinzani ilikuwa ni strategic ya kumvuta kwenye Graveyard hapo Mji Mkuu Kyiv. Naona plan zote za kivita pamoja na rasimali watu na silaha za Ukraine waliziweka hapo Kyiv maana walishajua lengo la Putin. Sasa Russia anakipata cha moto mpaka anafikia hatua ya kutumia Ballistic Missile.
Shirikisha Basi ubongo wako, Vita so Kama kwenda kununua maembe sokoni. RememberMarekani na uingereza combined walitumia mwezi mmoja na zaidi kumuangusha sadamu pale Iraq. Mbona hukuja kusema hapa kuwa marekani na uingereza ni dhaifu.?Huo ndio ukweli. Kwa mikwara yenu, mpaka muda huu mngekuwa mmeshaiteka Kyiv, ila mpaka sasa mmeshindwa na ni wazi ingekuwa ni nchi kama Ujeruman au France, mngekuwa bado mpkani na hapa ndio najiuliza uwapi uwezo wa nyinyi kupambana na Majeshi ya NATO kama mnavyojisifu.
CC: Salary SlipKama huna ufahamu na kitu bora ukakaa kimya utaonekana una akili.
Vita sio kitu rahisi kama ww unavyo fikiria.
Marekani alitumia miezi kufika mji mkuu wa Iraq.
Urusi katumia siku 2 kufika mji mkuu wa Ukraine bado tu hujaona nguvu ya Urusi.
Pro Putin mnajua kugeuza maneno,ni nyinyi hapa kabla ya vita haya maangalizo hamkuwa mnayaweka,leo hii watu wako kazini mnaanza kuja na hizi sababu tena.Panahitajika uangalifu Kwa sababu inawezekana wakauwawa Watu wasio na hatia, kwahiyo wanaweza wakauzunguka huo mji lakini kuingia pale ikahitajika hesabu Kali zaidi ili kuepusha maafa na umwagaji wa damu.
Haya hebu tuambie ww alitumia muda gani?Acha uongo na mahaba usa hajatumia miezi kufika mji mkuu wa iraq punguza mihemko
Anatumia silaha nyepesi anajua hao ni ndugu zake, akifunguka hapo hapa kaliki.Kama mpaka sasa Jeshi la Ukraine limeweza kuwapa upinzani wa kiwango hiki, ni wazi Jeshi la Russia sio strong kama linavyoelezewa na ni wazi lisingeweza kuhimili majeshi ya NATO kama tu Jeshi la Ukraine linawatoa jasho mpaka muda huu.
Kwa sifa tunazosikia kuhusu Jeshi la Russia, nilitarajia mpaka muda huu mji mkuu wa Ukraine uwe chini ya Majeshi ya Russia lakini mpaka sasa bado.
Soon tutaanza kusikia madai kuwa Jeshi la Ukraine linapata support kutoka kwa wamarekani na washiriki wake.
Ama kweli actions speak louder than words.
Mbona hizi excuse mwanzoni hamkuzisema?Haya hebu tuambie ww alitumia muda gani?
Au alitumia siku mbili kama mnavyo taka Russia afanye?
Unaifahamu Ballistic Missile?Anatumia silaha nyepesi anajua hao ni ndugu zake, akifunguka hapo hapa kaliki.
Ndiyo hivyo nyie team USA ni majuha kuichukulia Russia poaWe jamaa ni juha [emoji38][emoji38][emoji38]
Kitendo cha kuwapa raia silaha kwa kweli si kizuri, sasa apigwe nani aachwe naniUmeambiwa Neo Nazi wameteka watu kwenye maghorofa Kiev na kwenye maghorofa hayo wameweka Mitambo ya kurusha Maroketi. Ndiyo maana walizuia watu kukimbia mji huo.
Unahitaji utulivu kushugulika na adui anayetumia mbinu za kigaidi.
hizo ndio silaha zitumikazo kwe urban warfare hawawez kupigana km wapo jangwaniHadi sasa Russia wanatumia silaha za kawaida sana ukiona kombola linapiga jengo na kutoba chumba tu ujue ni silaha ya kawaida tu. Yaani hata zile za mbagala ni zaidi japo zilinunuliwa Urusi miaka ya 73.
Kuhusu kusaidiwa si tu tutasikia inaeleweka lkn hiyo isiwe sababu
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mmeanza matusi sasa.Ndiyo hivyo nyie team USA ni majuha kuichukulia Russia poa
Turkey wameingia na German ni NATO ila wanajifanya ni ukraineRussia anapigana na majeshi kibao tu huko Ukraine. NATO wameingia wakajichanganya na majeshi ya serikali ya Ukraine. Vinginevyo ingekuwa rahisi tu. si unaona ni kama NATO hawajali, ni kwamba wamevaa combat ya Ukraine
Strategy za Putin za 1945 Hao ukraine watoto wadogo new way of fighting hakutegemea wangetoa sigh za miji mitaa ,wakabomoa madarajaPutin ndio anashtuka muda huu kuwa aliwekewa mtego Kyiv,sasa naenda mbele hawezi na kurudi nyuma hawezi na NATO ndio wanazidi kumimina silaha Kyiv.