Kama mpaka sasa hawajaiteka "Kyiv", basi ni wazi Jeshi la Russia halina nguvu kama inavyodaiwa

Sasa ndio mtawwza kupambana na NATO na kuwashinda?
 
Tulia hii ni Vita sio Kama kupiga mabomu kuwatawanya wafuasi wa TLP
 
Ni kweli Nguvu ya jeshi la Russia bado haijaonekana, labda waje na maelezo yanayoeleweka
 
Watu bwana unafikiri kusafirisha matikiti hayo

Dunia ilijiandaa mda gani na miezi mingapi kumpiga Saddam
Njoo na data kamili maana nilikuwa huko mwanzo mwisho na kushiriki baadhi
Vita ya Iraq/Iran nilikuwepo pia na ya Uganda niliishuhudia

Kama mnafikiri vita ni kama ngumi unaingia ulingoni ukisubiri kengere unajidanganya

Jeshi haliingii kichwa kichwa hata siku moja linahitaji maandalizi makubwa ndio maana walifanya mazoezi huko Belarus kukusanya nguvu kwanza
 
Toka juzi walisema wamebakiza kilometa 10,kuuteka mji ila mpk sasa bado.
Itakua kuna watu wanalifanyia analysis jeshi la Urusi kupitia hili jambo, kujua kama lina nguvu inayosemwa au lah
 
Toka juzi walisema wamebakiza kilometa 10,kuuteka mji ila mpk sasa bado.
Itakua kuna watu wanalifanyia analysis jeshi la Urusi kupitia hili jambo, kujua kama lina nguvu inayosemwa au lah
Njia ya muongo ni fupi.
 
Kumuua kobe inahitaji timing kijana maana hiyo vita inapiganwa kwenye makazi ya watu then ni warusi kabsa so usifikiri ni rahis na kunywa chang'aa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…