Kama mpenzi wako hajawahi kukupa ile tamu, pita hapa

myself scenario

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
347
Reaction score
213
Salaam..

Sasa leo niko tofauti kidogo,sio kila uzi ni matatizo tu na kuomba ushauri ila leo nataka tucheke..

Ikiwa una mpenzi wako na kila siku anakuita mpenzi ila hajawahi kukupa ile tamu,basi kaa ukijua wewe ni MPENZI MTAZAMAJI...

Nawasilisha....
 
Acha kukalili mtoa mada.. Mi nilivumilia mpaka kuja kuoa bikra,ananiambia mpaka tukifunga ndoa.
 
Acha kukalili mtoa mada.. Mi nilivumilia mpaka kuja kuoa bikra,ananiambia mpaka tukifunga ndoa.
Unaweza kutofautisha ya kichina na ya asili ??? Maana zipo za Kichina, unaweza kuwa wewe tu ndo unaambiwa kusubiri ndoa ilihali Bibi arusi mtarajiwa yuko na mume asiye matarajiwa.
 
Dah kweli we mvumilivu aseee mimi ningeshindwa
Ukitaka fanikisha hill,jiweke bize na mazoezi na kusoma vitabu vya dini na kadhalika. Tupunguze kuwaza wanawake,binafsi niliweza kwakuwa nilimtanguliza Allah. Unachopaswa ni kumchunguza tabia,otherwise utajikuta unabadilisha kama nguo. Kuna maradhi jamani.[emoji23] [emoji27] [emoji32]
 
Unaweza kutofautisha ya kichina na ya asili ??? Maana zipo za Kichina, unaweza kuwa wewe tu ndo unaambiwa kusubiri ndoa ilihali Bibi arusi mtarajiwa yuko na mume asiye matarajiwa.
Ukitaka kufahamu,toka nae out sehemu kwa muda wote muwe pamoja kama wiki hivi. Wengine huwa wanaweka dawa Fulani hivi. Ukiona umepiga show ya Mara ya kwanza had I kwa muda wa Siku 5 unaumia. ujue hapo mpya hiyo.

Za kichina hazina maumivu Ila orijino ataugulia wiki nzima.
 
Hicho sio kipimo kizuri, hao wa Kichina hata maisha yao yanakuwa ya kichina, show ya kwanza atapiga kilio mpaka amushe majirani, halafu kesho yake hakupi kwa kisingizio kwa aliumia sana, siku hiyo ambayo wewe hajakupa ataenda kumpa ex wake, baada ya siku tatu atakupa lakini akiwa anabana map...ja kuwa bado anakuogopa, chezea maisha fake wewe !!!
 
Bora tumrudie Muumba yote yataisha haya..!
 
Bora tumrudie Muumba yote yataisha haya..!
Hayo ndo maisha, hayataisha yalikuwepo hata kipindi cha Yesu na Mtume Mohamed. Wanaume ndo tunajitia uchizi wa kutafuta hizo Bikira, matokeo yake Wadada wanatafuta hizo fake, mwanaume ukiingia unachubuka then kama ana ugonjwa, unaupata unakufa unacha maisha yanaendelea.
 
Mi huwa sivumilii mkuu ndani ya wiki nishamaliza kazi ,
 
Kweli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…