Sawa Joyce beki ya kumwaga maji ila Yanga mara ya mwisho kushinda kimataifa ilikuwa 2015.Kuna wachawi kuliko simba? Hivi mnajielewa kweli nyie au madish yenu yanayumba? Mchawi na mchawi wakikutana kuna mmoja atazidiwa na atasalimu amri ndo nyie, Mmezidiwa ujanja na yanga mnabaki mnabwata bwata tu kama kuku wa mdondo, Tengeneza kikosi bora ndo uongeze na uchawi unaweza kufanikiwa lakini kikosi chako cha kuunga unga alafu mwenzako mwenye kikosi bora unaanza kumuonea wivu, akili za wabongo ni ovyo kabisa
Yanga kuifunga simba sio uimara wa kikosi hyo simba ya kina miquisoni na kagere ilikuwa inapata tabu kwa yanga ya mwinyi zahera kakolanya aliokoa magoli 17 ya uchawi mpaka uchebe anaulizwa anasema hajui kwa nn ile mechi iliisha droo unauliza uchawi yanga simba atamfunga al ahly atamfunga kaizer chief lakini sio washirikina yanga hata iwe mbovu vipi simba anapata tabu.wewe unaamini simba sio wachawi?? Dunia nzima iliona uchawi wenu kule Sauzi! Huo uchawi wa Yanga ulikuwa wapi miaka 4 tuliyosota bila kombe!? Imarisheni timu zenu la sivyo mtafungwa sana na hii Yanga!
Kati ya Simba na Yanga nani alianza kuifunga Al Ahly?Yanga kuifunga simba sio uimara wa kikosi hyo simba ya kina miquisoni na kagere ilikuwa inapata tabu kwa yanga ya mwinyi zahera kakolanya aliokoa magoli 17 ya uchawi mpaka uchebe anaulizwa anasema hajui kwa nn ile mechi iliisha droo unauliza uchawi yanga simba atamfunga al ahly atamfunga kaizer chief lakini sio washirikina yanga hata iwe mbovu vipi simba anapata tabu.