Kama Msuva angevumulia kidogo tu Wydad AC angeandika historia mpya Afrika

Kama Msuva angevumulia kidogo tu Wydad AC angeandika historia mpya Afrika

Kwani si kaichezea msimu huu hadi huko kwenye kombe, kimaana nyingine ni kwamba jina lake liliwasilishwa miongoni mwa wachezaji watakaoshiriki michuano hiyo. Hivyo medali yake anayo ipo palepale na anahesabika Ni sehemu ya kikosi kilichotwaa kombe
 
Nadhani wachezaji wetu wanakosa wawakilishi wazuri wa kusimamia maslahi ya mchezaji angekuwa na wakala bora yeye ange focus na mpira wakala kuhakikisha maslahi ya mchezaji yanafikiwa hii ndio shida ya wachezaji wetu. Hatujui story kamili baina yao isije kuwa hata mkataba ali sign bila kujuwa ana sign nini wala usishangae. Maana ile ni team kubwa kule ndio kama team zetu kubwa za hapa sasa kweli wachezaji wote walipwe wewe tu usilipwe? nini hasa kimetokea ngumu kujuwa.
Upo sahihi.
Hawa jamaa hawana njaa kwamba wanunue mchezaji wasimlipe mshahara,
Sio kweli.
 
Wydad Casablanca wamechukua ndoo ya Klabu bingwa Afrika baada ya kumpiga Alahly 2:0.

Kama Msuva angevuta subira kidogo tu leo ingekuwa storry ingine kabisa.

Angekuwa Mtanzania wa pili baada ya Samata kuchukua CAF CHAMPIONS LEAGUE, mbona tungetamba!.

Lakini ndo hivyo tena kama mlivyosikia. Very sorry for him. Ndio maana kuna msemo mvumilivu hula mbivu.
Kwa sasa yuko wapi msuva?
 
Back
Top Bottom