Kama Mtaalamu wa Saikolojia ya Mahusiano, Namshauri Haji Manara Apunguze Kasi ya Kuanika Mapenzi yake Hadharani, hasa Faragha yake

Kama Mtaalamu wa Saikolojia ya Mahusiano, Namshauri Haji Manara Apunguze Kasi ya Kuanika Mapenzi yake Hadharani, hasa Faragha yake

Huyo jamaa huenda akili yake haiko sawa, hata kama ni mtu maarufu mjini anachofanya kuweka wazi mapenzi/mahaba yake kwa mkewe huo ni upuuzi na ujinga. Mapenzi yake kwa mkewe abaki naye kwake hatuhitaji atuambie jinsi anavyompenda na kumthamini mkewe hayo ni mambo ya chumbani kwake
 
Sio Haji Manara pekee wenye huo ushamba...

Wapo baadhi ya Wanaume wenzetu wengi wenye hizo tabia.

Mimi bora nionekane simpendi Mke wangu ama naogopa kumpost eti Kwa kuwa nina Wanawake wengine kama ambavyo wajinga hujisemea

Ama labda sijiamini kwa kuwa nimeoa Pisi Kali kama Vijana wa hovyo wanavyosemaga...

Ila sitakuja kufanya huo ushamba wa Kumpost Wife huko mitandaoni.

Msimamo wangu ni ule ule ....

"Wangu Namficha Kwapani"🤗

Namficha song by Harmonize
 
Angekuwa na akiili ujumbe huu ungemfaa..sasa tatizo hizo akili hana. Huenda pia aina hii ya maisha ndiyo inampa kula. Yaani hivi vituko ndo vinampa airtime na aadhamini wanaompa kula, usishangae kesho wakaachana ili kuweka attention zaidi.
 
KAMA MTAALAMU WA SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO, NAMSHAURI HAKI MANARA APUNGUZE KASI YA KUANIKA MAPENZI YAKE HADHARANI, HASA FARAGHA YAKE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Nampongeza Haji Manara kwa mafanikio aliyoyafikia, amekuwa mfano mzuri kwa Watu wa aina yake, nazungumzia Watu wenye ualbino. Na ameonyesha jamii kuwa hakuna sababu ya kuwatenga Watu wa aina yake. kwa sababu wanauwezo wa kufanya makubwa kama Watu wengine. Ingawaje anaweza asipende hili kuzungumziwa lakini hatuwezi kukimbia ukweli.

Tukirudi kwenye mada,
Kumposti mpenzi au mchumba au mkeo/mumeo mitandaoni sio jambo baya. Kuna Watu wenye tabia hii na hiyo ni namna yao ya kuonyesha furaha yao. Ni namna ya mtu kujivunia na kukubali kuwa naye amefanikiwa na anafurahia maisha. Sio Kosa kisheria, kidini, kiroho na hata Kimila.

Isipokuwa, inategemea unapost nini kwenye mitandao.
Post lakini usizidi kipimo.
Mathalani, unaweza kupost upo na mkeo mmeenda kutalii, Sawa.
Umepost upo nyumbani na familia mnaswali au mnafanya ibada, Sawa.
Umepost upo na mkeo/mumeo mmeenda kwenye tukio fulani la kifamilia au la marafiki, Sawa.

Umepost labda ni siku ya sikukuu fulani mnasheherekea, Sawa.
Umepost upo ndani ya gari mnaimba au mnatoa ujumbe fulani, Sawa.

Epuka Ku-post haya,
Ku-post uko na mkeo/mumeo kitandani, Big Ni.
Ku-post mkeo/mumeo anakunawisha miguu au mikono, Big No.
Ku-post mpo mmeanda kuoga au mpo beach mnaogelea, Big No.

Ku-post unajibu Ma Ex WA mkeo au mumeo. Big No.
Ku-post unaelezea mapenzi yenu labda kwa kuyatetea au kuyalinda. Big Noo.
Mapenzi na mahusiano hayatetewi wala kupondwa mtandaoni au kwenye vikao.
Mapenzi na mahusiano yanatetewa au kupondwa mkiwa wawili Faragha.

Ku-post unakandia Wanawake au wanaume wengine huku ukimsifia mkeo au mumeo. Big No.
Wéwe kama ni kumsifia msifie lakini usihusianishe na wasiohusika. Mapenzi ni yenu wawili.

Ku-post unajifanya unakuwekea visheria mkeo au mumeo mitandaoni. Big No.
Elewa kuwa Mkeo au mumeo ni kiumbe huru kumuwekea visheria vyako ni kujaribu kutafuta wavunjaji wa sheria.
Ukiwa public, jaribu kueleza kuwa mkeo au mumeo unamuamini (hata kama humuamini) kuwa anaakili nzuri, na yupo huru kuamua analotaka. Sema kabisa kwenye upendo Hakuna sheria.
Lakini FARAGHA unajua zipo.

Mahusiano ya ukubwani hayanaga SHERIA. Au tuseme mtu uliyekutana naye ukubwani huwezi mwekea visheria vyako.
Kadiri unavyomwekea mtu mzima sheria ndivyo anavyozidi kukaribia kuzivunja.
Upendo na sheria haviendi pamoja isipokuwa upendo ndio sheria yenyewe. Yaani mtu akikupenda huna haja ya kumtamkia sheria kwa sababu yeye atahangaika kujua nini unapenda na nini hupendi. Na yale unayoyapenda atahangaika kuyafanya na yale usiyoyapenda atajitahidi kuyaacha. Bila kuona ni utumwa

Huwezi zuia Watu wasimzungumzie mkeo au mumeo ikiwa kwa hiyari yako ulipost mtandaoni. Hivyo ni kazi yako kupambana na matokeo ya ku-post mtandaoni ikiwa ni pamoja na kumtuliza mkeo kama anahisia nyepesi pale anapoona anapondwa na Watu mitandaoni.

Kabla hujampost Mkeo au mumeo hakikisha mumejuana vya kutosha. Au kabla hujaanza tabia ya ku-post mahusiano yako mtandaoni hakikisha unamfahamu vilivyo mwenza wako.
Hakikisha mmejengana kwa ndani na mnaelewana vizuri.
Mke na mume hujengwa katika nafsi na mioyo yao kabla ya miili yao.
Unapopost mkeo au mumeo unapost mwili. Na sio nafsi au moyo wake. Unaweza kuwa umemjenga kimwili lakini kumbe moyoni akawa ni dhaifu.

Kuachana ni rahisi sana kwa Watu ambao hawakujuana vizuri. Hawakujengana vizuri.
Unapompata mchumba jambo la kwanza ni kuwekana sawa muelewane na mjuane. Na hiyo sio chini ya miaka miwili mpaka mitano. Wanasa Zimwi likujualo halikuli likakwisha. Sasa mtu hata mwaka hamjuani unaanza mbwembwe. Unatafuta fedheha.

Manara endelea kufurahia maisha ya mahusiano lakini punguza Faragha zenu zisiwe hadharani. Wekeni hadharani mambo ya kawaida ya kisosholojia.

Ni hayo tuu Ndugu yangu na wengine wenye hulka kama hiyo.

Nawatakia Sabato Njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Yote kwa yote wadada nao wajasiri sana,kumvulia Pichu yule jamaa inataka moyo wa ujasiri
 
Manara anafanya hivyo kibiashara zaidi na ndio maana tunatumia muda mwingi kumfatilia na kumjadili!

Maisha yake ameyafanya biashara hivyo bila kufanya hivyo hela haingii na sio manara mbona karibu wasanii wengi drama zao na vituko ndio biashara inayo wafanya waishi!

Tupunguze na tusipoteze muda kutoa ushauri maana akifata ushauri wako wewe mwalimu basi biashara yake itakuwa imeishia hapo! Manara usichukue huu ushauri.
 
Angekuwa na akiili ujumbe huu ungemfaa..sasa tatizo hizo akili hana. Huenda pia aina hii ya maisha ndiyo inampa kula. Yaani hivi vituko ndo vinampa airtime na aadhamini wanaompa kula, usishangae kesho wakaachana ili kuweka attention zaidi.

Hapo atakuwa anaharibu Wafuasi wake na Watu wa aina yake (wenye ualbino)
 
Manara anafanya hivyo kibiashara zaidi na ndio maana tunatumia muda mwingi kumfatilia na kumjadili!

Maisha yake ameyafanya biashara hivyo bila kufanya hivyo hela haingii na sio manara mbona karibu wasanii wengi drama zao na vituko ndio biashara inayo wafanya waishi!

Tupunguze na tusipoteze muda kutoa ushauri maana akifata ushauri wako wewe mwalimu basi biashara yake itakuwa imeishia hapo! Manara usichukue huu ushauri.

Hujui Manara ni nani kwa ulimwengu wa watu maalum (special Groups)
 
Sio Haji Manara pekee wenye huo ushamba...

Wapo baadhi ya Wanaume wenzetu wengi wenye hizo tabia.

Mimi bora nionekane simpendi Mke wangu ama naogopa kumpost eti Kwa kuwa nina Wanawake wengine kama ambavyo wajinga hujisemea

Ama labda sijiamini kwa kuwa nimeona Pisi Kali kama Vijana wa hovyo wanavyosemaga...

Ila sitakuja kufanya huo ushamba wa Kumpost Wife huko mitandaoni.

Msimamo wangu ni ule ule ....

"Wangu Namficha Kwapani"🤗

Namficha song by Harmonize

Kama hawatazidisha mipaka wapo Sahihi
 
Huyo jamaa huenda akili yake haiko sawa, hata kama ni mtu maarufu mjini anachofanya kuweka wazi mapenzi/mahaba yake kwa mkewe huo ni upuuzi na ujinga. Mapenzi yake kwa mkewe abaki naye kwake hatuhitaji atuambie jinsi anavyompenda na kumthamini mkewe hayo ni mambo ya chumbani kwake

Akazidisha ndio tatizo
 
KAMA MTAALAMU WA SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO, NAMSHAURI HAKI MANARA APUNGUZE KASI YA KUANIKA MAPENZI YAKE HADHARANI, HASA FARAGHA YAKE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Nampongeza Haji Manara kwa mafanikio aliyoyafikia, amekuwa mfano mzuri kwa Watu wa aina yake, nazungumzia Watu wenye ualbino. Na ameonyesha jamii kuwa hakuna sababu ya kuwatenga Watu wa aina yake. kwa sababu wanauwezo wa kufanya makubwa kama Watu wengine. Ingawaje anaweza asipende hili kuzungumziwa lakini hatuwezi kukimbia ukweli.

Tukirudi kwenye mada,
Kumposti mpenzi au mchumba au mkeo/mumeo mitandaoni sio jambo baya. Kuna Watu wenye tabia hii na hiyo ni namna yao ya kuonyesha furaha yao. Ni namna ya mtu kujivunia na kukubali kuwa naye amefanikiwa na anafurahia maisha. Sio Kosa kisheria, kidini, kiroho na hata Kimila.

Isipokuwa, inategemea unapost nini kwenye mitandao.
Post lakini usizidi kipimo.
Mathalani, unaweza kupost upo na mkeo mmeenda kutalii, Sawa.
Umepost upo nyumbani na familia mnaswali au mnafanya ibada, Sawa.
Umepost upo na mkeo/mumeo mmeenda kwenye tukio fulani la kifamilia au la marafiki, Sawa.

Umepost labda ni siku ya sikukuu fulani mnasheherekea, Sawa.
Umepost upo ndani ya gari mnaimba au mnatoa ujumbe fulani, Sawa.

Epuka Ku-post haya,
Ku-post uko na mkeo/mumeo kitandani, Big Ni.
Ku-post mkeo/mumeo anakunawisha miguu au mikono, Big No.
Ku-post mpo mmeanda kuoga au mpo beach mnaogelea, Big No.

Ku-post unajibu Ma Ex WA mkeo au mumeo. Big No.
Ku-post unaelezea mapenzi yenu labda kwa kuyatetea au kuyalinda. Big Noo.
Mapenzi na mahusiano hayatetewi wala kupondwa mtandaoni au kwenye vikao.
Mapenzi na mahusiano yanatetewa au kupondwa mkiwa wawili Faragha.

Ku-post unakandia Wanawake au wanaume wengine huku ukimsifia mkeo au mumeo. Big No.
Wéwe kama ni kumsifia msifie lakini usihusianishe na wasiohusika. Mapenzi ni yenu wawili.

Ku-post unajifanya unakuwekea visheria mkeo au mumeo mitandaoni. Big No.
Elewa kuwa Mkeo au mumeo ni kiumbe huru kumuwekea visheria vyako ni kujaribu kutafuta wavunjaji wa sheria.
Ukiwa public, jaribu kueleza kuwa mkeo au mumeo unamuamini (hata kama humuamini) kuwa anaakili nzuri, na yupo huru kuamua analotaka. Sema kabisa kwenye upendo Hakuna sheria.
Lakini FARAGHA unajua zipo.

Mahusiano ya ukubwani hayanaga SHERIA. Au tuseme mtu uliyekutana naye ukubwani huwezi mwekea visheria vyako.
Kadiri unavyomwekea mtu mzima sheria ndivyo anavyozidi kukaribia kuzivunja.
Upendo na sheria haviendi pamoja isipokuwa upendo ndio sheria yenyewe. Yaani mtu akikupenda huna haja ya kumtamkia sheria kwa sababu yeye atahangaika kujua nini unapenda na nini hupendi. Na yale unayoyapenda atahangaika kuyafanya na yale usiyoyapenda atajitahidi kuyaacha. Bila kuona ni utumwa

Huwezi zuia Watu wasimzungumzie mkeo au mumeo ikiwa kwa hiyari yako ulipost mtandaoni. Hivyo ni kazi yako kupambana na matokeo ya ku-post mtandaoni ikiwa ni pamoja na kumtuliza mkeo kama anahisia nyepesi pale anapoona anapondwa na Watu mitandaoni.

Kabla hujampost Mkeo au mumeo hakikisha mumejuana vya kutosha. Au kabla hujaanza tabia ya ku-post mahusiano yako mtandaoni hakikisha unamfahamu vilivyo mwenza wako.
Hakikisha mmejengana kwa ndani na mnaelewana vizuri.
Mke na mume hujengwa katika nafsi na mioyo yao kabla ya miili yao.
Unapopost mkeo au mumeo unapost mwili. Na sio nafsi au moyo wake. Unaweza kuwa umemjenga kimwili lakini kumbe moyoni akawa ni dhaifu.

Kuachana ni rahisi sana kwa Watu ambao hawakujuana vizuri. Hawakujengana vizuri.
Unapompata mchumba jambo la kwanza ni kuwekana sawa muelewane na mjuane. Na hiyo sio chini ya miaka miwili mpaka mitano. Wanasa Zimwi likujualo halikuli likakwisha. Sasa mtu hata mwaka hamjuani unaanza mbwembwe. Unatafuta fedheha.

Manara endelea kufurahia maisha ya mahusiano lakini punguza Faragha zenu zisiwe hadharani. Wekeni hadharani mambo ya kawaida ya kisosholojia.

Ni hayo tuu Ndugu yangu na wengine wenye hulka kama hiyo.

Nawatakia Sabato Njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mkuu live your life. Acha kupangia watu maisha.
 
KAMA MTAALAMU WA SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO, NAMSHAURI HAKI MANARA APUNGUZE KASI YA KUANIKA MAPENZI YAKE HADHARANI, HASA FARAGHA YAKE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Nampongeza Haji Manara kwa mafanikio aliyoyafikia, amekuwa mfano mzuri kwa Watu wa aina yake, nazungumzia Watu wenye ualbino. Na ameonyesha jamii kuwa hakuna sababu ya kuwatenga Watu wa aina yake. kwa sababu wanauwezo wa kufanya makubwa kama Watu wengine. Ingawaje anaweza asipende hili kuzungumziwa lakini hatuwezi kukimbia ukweli.

Tukirudi kwenye mada,
Kumposti mpenzi au mchumba au mkeo/mumeo mitandaoni sio jambo baya. Kuna Watu wenye tabia hii na hiyo ni namna yao ya kuonyesha furaha yao. Ni namna ya mtu kujivunia na kukubali kuwa naye amefanikiwa na anafurahia maisha. Sio Kosa kisheria, kidini, kiroho na hata Kimila.

Isipokuwa, inategemea unapost nini kwenye mitandao.
Post lakini usizidi kipimo.
Mathalani, unaweza kupost upo na mkeo mmeenda kutalii, Sawa.
Umepost upo nyumbani na familia mnaswali au mnafanya ibada, Sawa.
Umepost upo na mkeo/mumeo mmeenda kwenye tukio fulani la kifamilia au la marafiki, Sawa.

Umepost labda ni siku ya sikukuu fulani mnasheherekea, Sawa.
Umepost upo ndani ya gari mnaimba au mnatoa ujumbe fulani, Sawa.

Epuka Ku-post haya,
Ku-post uko na mkeo/mumeo kitandani, Big Ni.
Ku-post mkeo/mumeo anakunawisha miguu au mikono, Big No.
Ku-post mpo mmeanda kuoga au mpo beach mnaogelea, Big No.

Ku-post unajibu Ma Ex WA mkeo au mumeo. Big No.
Ku-post unaelezea mapenzi yenu labda kwa kuyatetea au kuyalinda. Big Noo.
Mapenzi na mahusiano hayatetewi wala kupondwa mtandaoni au kwenye vikao.
Mapenzi na mahusiano yanatetewa au kupondwa mkiwa wawili Faragha.

Ku-post unakandia Wanawake au wanaume wengine huku ukimsifia mkeo au mumeo. Big No.
Wéwe kama ni kumsifia msifie lakini usihusianishe na wasiohusika. Mapenzi ni yenu wawili.

Ku-post unajifanya unakuwekea visheria mkeo au mumeo mitandaoni. Big No.
Elewa kuwa Mkeo au mumeo ni kiumbe huru kumuwekea visheria vyako ni kujaribu kutafuta wavunjaji wa sheria.
Ukiwa public, jaribu kueleza kuwa mkeo au mumeo unamuamini (hata kama humuamini) kuwa anaakili nzuri, na yupo huru kuamua analotaka. Sema kabisa kwenye upendo Hakuna sheria.
Lakini FARAGHA unajua zipo.

Mahusiano ya ukubwani hayanaga SHERIA. Au tuseme mtu uliyekutana naye ukubwani huwezi mwekea visheria vyako.
Kadiri unavyomwekea mtu mzima sheria ndivyo anavyozidi kukaribia kuzivunja.
Upendo na sheria haviendi pamoja isipokuwa upendo ndio sheria yenyewe. Yaani mtu akikupenda huna haja ya kumtamkia sheria kwa sababu yeye atahangaika kujua nini unapenda na nini hupendi. Na yale unayoyapenda atahangaika kuyafanya na yale usiyoyapenda atajitahidi kuyaacha. Bila kuona ni utumwa

Huwezi zuia Watu wasimzungumzie mkeo au mumeo ikiwa kwa hiyari yako ulipost mtandaoni. Hivyo ni kazi yako kupambana na matokeo ya ku-post mtandaoni ikiwa ni pamoja na kumtuliza mkeo kama anahisia nyepesi pale anapoona anapondwa na Watu mitandaoni.

Kabla hujampost Mkeo au mumeo hakikisha mumejuana vya kutosha. Au kabla hujaanza tabia ya ku-post mahusiano yako mtandaoni hakikisha unamfahamu vilivyo mwenza wako.
Hakikisha mmejengana kwa ndani na mnaelewana vizuri.
Mke na mume hujengwa katika nafsi na mioyo yao kabla ya miili yao.
Unapopost mkeo au mumeo unapost mwili. Na sio nafsi au moyo wake. Unaweza kuwa umemjenga kimwili lakini kumbe moyoni akawa ni dhaifu.

Kuachana ni rahisi sana kwa Watu ambao hawakujuana vizuri. Hawakujengana vizuri.
Unapompata mchumba jambo la kwanza ni kuwekana sawa muelewane na mjuane. Na hiyo sio chini ya miaka miwili mpaka mitano. Wanasa Zimwi likujualo halikuli likakwisha. Sasa mtu hata mwaka hamjuani unaanza mbwembwe. Unatafuta fedheha.

Manara endelea kufurahia maisha ya mahusiano lakini punguza Faragha zenu zisiwe hadharani. Wekeni hadharani mambo ya kawaida ya kisosholojia.

Ni hayo tuu Ndugu yangu na wengine wenye hulka kama hiyo.

Nawatakia Sabato Njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kiukweli jamaa anazingua na sidhani kama hili penzi litafika mwaka. Ila why mzee posts zingine umezikubali ila ya kuosha miguu umeikataa? Naomba maelezo kidogo nikuelewe
 
Back
Top Bottom