Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Mkuu live your life. Acha kupangia watu maisha.
Kiukweli jamaa anazingua na sidhani kama hili penzi litafika mwaka. Ila why mzee posts zingine umezikubali ila ya kuosha miguu umeikataa? Naomba maelezo kidogo nikuelewe
Haaa haa hatari sana sema tunashindwa kujua manara kweli kazaliwa mjini ila hakuishi maisha ya mjini maisha ya mjini yalimpita sasa leo hii ndio kageuka kituko ingawa yeye atasema anajibrand, kibaya this time kajimix kwenye biffu na mtoto wa uswaziUkiona hivyo tambua kuna udhaifu fulani anauficha! Sasa ili kufidia hilo gap inabidi awe na show offs za kutosha! Case study: Masanja mkandamizaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unakuta unamsifia na Kumpost Mkeo kutwa mara 8 utasema dozi ya Uviko 19Kama hawatazidisha mipaka wapo Sahihi
mbaya zaidi anaongea hayo mbele ya media nyingi na kuwafanya wanahabari wacheke, amekuwa kichekesho/mchekeshajiAkazidisha ndio tatizo
[emoji16][emoji16]Yaani unakuta unamsifia na Kumpost Mkeo kutwa mara 8 utasema dozi ya Uviko 19
Kumbe Vijana wa hovyo wanamlia timing tu
Kuja kutahamaki wameshamvua chupi saa ngapi
Na hivi Kuna ule msemo wa every woman has price tag
Baada ya hapo ni mwendo wa kuimba wimbo wa Kataa Ndoa na nduguzo akina dronedrake [emoji12]
Nyege zikiisha kupost Huwa Kuna koma automatic wako wapi anko shamte na mama simba
😅😅[emoji16][emoji16]
Nimekuelewa kote lakini mapenzi bila sheria kwangu haiwezekani, lazima wote tutembee njia moja, ili tuishi kwa amani nyumba moja, na sheria ndio kiunganishi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Upendo lazima uambatane na kujua nini napenda na nini sitaki, kama ananipenda atafanya vile nitakavyo, kinyume na hapo hanipendi.Upendo ni zaidi ya sheria.
Mtu akikupenda huwezi muwekea sheria.
Tayari huyo anamapungufu, anajitahidi kuficha mapungufu yake kwa hivyo vitukoHapo atakuwa anaharibu Wafuasi wake na Watu wa aina yake (wenye ualbino)
A classic point of view!Ukiona hivyo tambua kuna udhaifu fulani anauficha! Sasa ili kufidia hilo gap inabidi awe na show offs za kutosha! Case study: Masanja mkandamizaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Upendo lazima uambatane na kujua nini napenda na nini sitaki, kama ananipenda atafanya vile nitakavyo, kinyume na hapo hanipendi.
So, kwangu ni sheria = upendo.
Lakini sio unipende lakini usifanye navyotaka.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Inategemea Manara kuzungukwa na watu wa aina gani..( friends)...Lakini kama hasomi hizi comments basi Friends zake..
Ni kama tunaiiga life style za western, kwamba fedha ndio kila kitu, hata kama utatembea uchi. Imefika mahali hawawezi tena kudhibiti hasa kwa watoto.
Kwa jina lake tu bado aweza tu kufanya biashara bila kuhitaji kutrend..
Ukiondoa alichokupendea upendo ufaUpendo ni zaidi ya sheria.
Mtu akikupenda huwezi muwekea sheria.