Marcovicsavic
Senior Member
- Nov 14, 2020
- 130
- 303
Aisee...Jibu ni 7 the rest nmemuuliza bard, je njia hapo kwa picha..View attachment 2803130View attachment 2803131
haha watu hamtaki usumbufuJibu ni 7 the rest nmemuuliza bard, je njia hapo kwa picha..View attachment 2803130View attachment 2803131
Bard yenyewe iko chaka 😂 😂 😂Jibu ni 7 the rest nmemuuliza bard, je njia hapo kwa picha..View attachment 2803130View attachment 2803131
Kwanini mkuu, au ndio jibu lipo kwenye username yakoSipendi hii ishu ya Al 😬😬😬😬
Yaan naona kabisa inaleta shida tu...Kwanini mkuu, au ndio jibu lipo kwenye username yako
Lakn inarahisisha baadhi ya mambo nakusave mudaYaan naona kabisa inaleta shida tu...
Sasa unazani kutakua na class hapa..
Kila mtu anakua anajua ndo nini sasa...🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌
Sawa nakubali...Lakn inarahisisha baadhi ya mambo nakusave muda
Wewe na AI yako, wote mmeingia chakaJibu ni 7 the rest nmemuuliza bard, je njia hapo kwa picha..View attachment 2803130View attachment 2803131
Chat gpt hili swali lili mshinda kkaJibu ni 7 the rest nmemuuliza bard, je njia hapo kwa picha..View attachment 2803130View attachment 2803131
Sasa hilo swali AI haliwezi kulifanya kaka wekaAisee...
Tokea hizi AI zilivyokuja, nikaacha kabisa kuleta maswali humu ya Maths au Physics [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AI nisha ipa swalu hilo inaingia chaka daily mpaka baleta hapa ujue nisha pita hikoBard yenyewe iko chaka [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anafikiri mpka naleta hapa mimi siijui hiyo AIWewe na AI yako, wote mmeingia chaka
Inaonekana hajui kabisa hesabu huyo jamaa, maana kashindwa hata kuprove kama jibu ni sahihi au la.Anafikiri mpka naleta hapa mimi siijui hiyo AI
mtabe wa hesabu ndio niniHabari za wakati huu wana jamiiforum
Kuna ka swali hapa ka O level kana sumbua hivyo nataka kuwasirisha kwa watabe wa jamii forum ila niweze kupata solution yake
SWALI :
2^(8-x) = 8x
Yaani :
Two power eight minus X equals to eight x(eight times X )
Find the value of X.
Asante ,
nahitaji soulution , si jibu pekee !
Unajua maana ya hichi kialama ^Jibu ni 7 the rest nmemuuliza bard, je njia hapo kwa picha..View attachment 2803130View attachment 2803131