Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

Alicho kifanya hapi ni kutoa jibu nankuli prove sioni kama katunga swal
 
Alicho kifanya hapi ni kutoa jibu nankuli prove sioni kama katunga swal
Kosa lake lipo hapa.

Swali lilikuwa ni 2^(8-x)=8x
Jibu lililokuja ni 3.24 hivi, yeye kawakosoa hilo sio jibu, jibu ni 8.
Equation aliyotumia kuprove jibu lake na kuwakosoa wenzie si ya swali husika.
Yeye katumia equation ya 2^(x-2)=8x, sasa hakupaswa kuwakosoa wa jibu la 3.24
 
Duh em tazama vema boss
Inaoneka u r missing the point , hapo , pay good attention utaelewa
 
Swali linasemaje?
Swali linasema find the value of x
Alicho fanya marcoveratti ni kwamba katafuta value ya x ambayo kapata 8 ,

Kicha kaonesha namba nane ni jibu sahihi kwa kuichukua hiyo 8 na kuipachika kwenye kila sehem yenye x ili kuona je LHS itakua sawa na RHS ,

na ime kuja baada ya kuweka 8 kma ndio value ya x

LHS ikawa 64 pia RHS ikawa 64 so

LHS = 64 = RHS

usicho elewa wewe hapo nini boss !
 
Haya chukua value 8 kisha ingiza kwemye equations zifuatazo.
1. 2^(8-x) =8x

2. 2^(x-2) =8x

Wapi 8 inakuwa ni jibu sahihi.
Swali lililoletwa ni equation namba 1, ambalo jibu halisi ni 3.248 nakuendelea huko.
Kosa alilofanya ni kuwatoa wenzie akili waliopata hilo jibu kwa swali hilo, ye akasema jibu ni namba 8 lakini equation aliyotumia kuprobe jibu ni hii namba 2 na sio namba 1.
 
Daah jamaa angu ulisoma kweli hesabu ? Mbona concept simple sana wewe una jichanganya kiasi hicho?
 
Daah jamaa angu ulisoma kweli hesabu ? Mbona concept simple sana wewe una jichanganya kiasi hicho?
Jamaa mbona unanitisha, ina maana ulichokileta unakijua au umekopi tuu..

Haya chukua hilo jibu la 8 kisha prove kwenye equation yako.

2^(8-x) =8x
LHS ikiwa sawa na RHS mie najitoa kabisa jf na nakutumia bando la mwezi.
 
Jamaa mpaka kanishangaza, na kakaza kichwa kweli kwelim
 
Umebadilisha swali!
Boya wewe
 
#80
jaguarjr
 
Yaan naona kabisa inaleta shida tu...
Sasa unazani kutakua na class hapa..
Kila mtu anakua anajua ndo nini sasa...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Hofu uliyo nayo pia ilitokea baada ya calculator kugunduliwa watu wakahisi sasa kuna haja gani ya kujifunza hesabu. Ila syallabus zikawa updated kiasi kwamba hata ukiwa na calculator bila kujua uifanyie nini ni bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…