DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 372
- 310
Wanabodi,
Kweli tumetimiza mwaka mmoja tangu Rais Samia aingie madarakani. Shangwe na vigelegele kila tunapo kumbushwa kuhusu miradi inayo endelea kusimamiwa na Rais. Mema yamefanyika, tuendelee kusubiria mambo mengine makubwa kutoka kwa serikali ya awamu ya sita.
Katika haya yote, kitu ambacho kinatupita wengi ni jinsi ambavyo serikali inatumia kila fursa kufanya "branding" ya yale yote yanayo fanyika serikalini na zaidi, kuhakikisha kwamba Jina la Rais Samia Suluhu Hassan linakubalika kila mahali nchini na kwa watanzania wote. Zoezi hili linafanywa kimkakati sana haswa na vyombo vya habari vikishirikiana na viongozi mbalimbali.
Serikali inajihusisha sana na suala hili na kwasababu hiyo, lazima kuna madhumuni ya hali kuwa kama ilivyo. Labda ni njia ya kuwa na "Control" kwa kuhakikisha kwamba serikali ina "impact" sana maoni ambayo watanzania wanaweza kuwa nayo kuhusu utendaji kazi wa serikali yao. Labda ni njia ya kumjengea Rais Samia mahusiano mazuri na watanzania na hivyo kuhakikisha kipindi chepesi zaidi katika uchaguzi mkuu ujao. Labda serikali ina amini kwamba kuna hatari kwa wananchi kupata taarifa ambazo hazija chujwa kikamilifu.
Yote haya yanaonyesha nguvu ambayo serikali inayo katika kufanya kitu chochote au kuchochea maoni yoyote kutoka kwa wananchi. Hii inaitwa propaganda.
Propaganda inaweza kufanywa kwa njia nyingi tofauti. Inaweza ikawa hotuba, chapisho kwenye gazeti, filamu au hata muziki, ambapo yote hufanywa ku "Influence" maoni na fikra za wananchi. Vile vile propaganda ni chombo ambacho kipo na ni cha umuhimu kwa kila serikali katika kulinda amani na kuendesha shughuli zake. Cha muhimu kuliko vyote ni kutumia chombo hiki vizuri...
Kweli tumetimiza mwaka mmoja tangu Rais Samia aingie madarakani. Shangwe na vigelegele kila tunapo kumbushwa kuhusu miradi inayo endelea kusimamiwa na Rais. Mema yamefanyika, tuendelee kusubiria mambo mengine makubwa kutoka kwa serikali ya awamu ya sita.
Katika haya yote, kitu ambacho kinatupita wengi ni jinsi ambavyo serikali inatumia kila fursa kufanya "branding" ya yale yote yanayo fanyika serikalini na zaidi, kuhakikisha kwamba Jina la Rais Samia Suluhu Hassan linakubalika kila mahali nchini na kwa watanzania wote. Zoezi hili linafanywa kimkakati sana haswa na vyombo vya habari vikishirikiana na viongozi mbalimbali.
Serikali inajihusisha sana na suala hili na kwasababu hiyo, lazima kuna madhumuni ya hali kuwa kama ilivyo. Labda ni njia ya kuwa na "Control" kwa kuhakikisha kwamba serikali ina "impact" sana maoni ambayo watanzania wanaweza kuwa nayo kuhusu utendaji kazi wa serikali yao. Labda ni njia ya kumjengea Rais Samia mahusiano mazuri na watanzania na hivyo kuhakikisha kipindi chepesi zaidi katika uchaguzi mkuu ujao. Labda serikali ina amini kwamba kuna hatari kwa wananchi kupata taarifa ambazo hazija chujwa kikamilifu.
Yote haya yanaonyesha nguvu ambayo serikali inayo katika kufanya kitu chochote au kuchochea maoni yoyote kutoka kwa wananchi. Hii inaitwa propaganda.
Propaganda inaweza kufanywa kwa njia nyingi tofauti. Inaweza ikawa hotuba, chapisho kwenye gazeti, filamu au hata muziki, ambapo yote hufanywa ku "Influence" maoni na fikra za wananchi. Vile vile propaganda ni chombo ambacho kipo na ni cha umuhimu kwa kila serikali katika kulinda amani na kuendesha shughuli zake. Cha muhimu kuliko vyote ni kutumia chombo hiki vizuri...