Kama mtatolewa na timu inayojitafuta, mkubali pia timu yenu ni dhaifu inabebwa na waamuzi

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Sijataja mtu lakini nataka niwaambie kuwa, ukiachilia mbali uchawi wa vile vizee vyenu, mmekuwa mkibebwa sana na waamuzi na mmetumia sana pesa kuathiri wapinzani wenu nje ya uwanja.

Sasa nijuacho kwenye mechi za kimataifa maamuzi huwa thabiti na mtalalamika sana kwa jinsi mlivyozoea kubebwa ligi za ndani. Iwapo mtatolewa na timu mliyoita inajitafuta, msiache kuja tena na kutuambia mpira ni mchezo wa makosa, ukifanya makosa unaadhibiwa.

Muendelee kutuambia mmefungwa na timu dhaifu kwa hiyo ninyi ni dhaifu zaidi. Hata hivyo tunajua ninyi ni kama pilipili hoho!
 
Ingawa hujataja MTU, huwa wanajistukia sana.

Subiri Uone Watakavyokuja Na Mapovu hapa!
 
Baada ya utopolo kula nauli ya msela mara kadhaa,

Hatimae leo ameingia mwenyewe kwenye gheto la msela mavi.
Tena akiwa na dera tu mwilini bila chochote ndani..
Hahaa harafu msela ana ugwadu hatarii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jumapili baada ya game kumalizika mashabiki wa mbumbumbu fc akili zitakorogeka pamoja na mavi.... Mo, barba, mgunda na matola watatukanwa mpaka watawakumbuka marehemu wazazi wao
 
WAZEE WA TICKETS BURE[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wanaojitafta si waliwapiga kimoja juzi tu hapo nyie ma giant
 
Yule Binti yao Ashura cheupe atachukiaaaaa! Timu ikitolewa na kwenda kucheza ule upande wa kombe la walioshindwa huku kiumeni
 
Mnateseka sana poleni zenu, nyie uchawi wenu mmeupeleka wapi? achana na mawazo finyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…