Kama mtoto wako wa kiume anaharibu toys kila ukimnunulia fanya hivi...!

Hiyo ni dalili kuwa mwanao atakua mkorofi sana
Sasa ona kwa mfano alichoifanya hiyo fastijeti ilikuwa inaruka kabisa, ona sasa iko grounded !!
Yaani chalii anajua kuharibu tu komesha yake supaglue...
 
Nitazingatia ushauri wako mwanabodi
 
Hachana na super glue... Tafuta araldite super straingth hiy kualibu ni kuvunja kwa jiwe au kitu kizitoo... Ina nasa zaidi ya super glue zaidi...

Una weza isoma mitandaoni... Ma Eng watakuwa wana nielewa kuhusu hii gundi...
 
Hachana na super glue... Tafuta araldite super straingth hiy kualibu ni kuvunja kwa jiwe au kitu kizitoo... Ina nasa zaidi ya super glue zaidi...

Una weza isoma mitandaoni... Ma Eng watakuwa wana nielewa kuhusu hii gundi...
Hiyo aladaiti mi nacheza nayo gereji deile naielewa kuliko, nimependekeza supaglu sababu ya urahisi ktk upatikanaji wake
 
huo udongo ni wa aina gani!!!

pia kama wewe ukiwa unaita uchafu obvious hata wao wataita uchafu, wakati mwingine ni vizuri kushiriki nao pamoja ktk ubunifu wa kutumia udongo.
 
huo udongo ni wa aina gani!!!

pia kama wewe ukiwa unaita uchafu obvious hata wao wataita uchafu, wakati mwingine ni vizuri kushiriki nao pamoja ktk ubunifu wa kutumia udongo.
Hawa machalii wa english medium hawataki udongo, kuna udongo wao unauzwa ndio wanataka huo kutengenezea midoli na maumbo wayapendayo
 
huo udongo ni wa aina gani!!!

pia kama wewe ukiwa unaita uchafu obvious hata wao wataita uchafu, wakati mwingine ni vizuri kushiriki nao pamoja ktk ubunifu wa kutumia udongo.
Inaonekana u/utakuwa baba bora
 
Hawa machalii wa english medium hawataki udongo, kuna udongo wao unauzwa ndio wanataka huo kutengenezea midoli na maumbo wayapendayo
hapo sasa ni wewe na ushawishi wako kama baba japo sio lazima watumie udongo wetu wa asili huu,
hata huo udongo wao maalum ni mzuri pia japo ubaya wake ni kwamba haukauki.
 
Watoto hawa hawajui thamani ( sio kipesa ) ya vitu sababu vinakuja kirahisi , ingekua anatengeneza Toy mwenyewe ungeona anavyo kitunza

 
Watoto hawa hawajui thamani ( sio kipesa ) ya vitu sababu vinakuja kirahisi , ingekua anatengeneza Toy mwenyewe ungeona anavyo kitunza

Huyu mwenye suti atakuja kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa ana postures za kipolitikipolitiki
 
Jamaa anajiita mbao za mawe dah yaani nimecheka kishenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…