Kwanini waache dini tu kuwa ndio hadi mtoto akuwe ndio aje kuamua mwenyewe na si kuacha na mambo mengine pia? Kuna mambo mengi sana kutoka kwa wazazi na jamii mtoto hujifunza tokea utotoni.Ni kweli kabisa mkuu. Nawaonea huruma watoto wanavyochapwa bakora huko madrassa. Wawaache wawe wakubwa w.aamue wenyewe.
Hizo ni tafsiri, wanachokisoma hapo ni tafsiri na nishakwambia kwamba Qur'an pia imetafsiriwa kwa kiswahili.Hata Bible inalugha yake ya Asili lakini leo Wakristo wa Mataifa yote wanasoma Scriptures kwa Lugha zao za Asili.
Kuna Bible za Lugha hadi za Kibantu wakati huko Nigeria kuna Waisilamu waliojaribu kusoma kuruani kwa Lugha ya Kihausa wakapigwa marufuku na Sultan wa Sokoto.
Ni wapi Tanzania Quruani inasomwa kiswahili?!Hizo ni tafsiri, wanachokisoma hapo ni tafsiri na nishakwambia kwamba Qur'an pia imetafsiriwa kwa kiswahili.
Tafakuri sana. Mtu akifika umri huo na hakjasoma kitu atakuwa ameshapotea.Moja ya mambo yanayovuruga sana wanadamu ni mambo ya imani ambayo msingi wake ni kuamini bila kuhoji na kuhoji ni sawa na kukufuru(unamezeshwa).
Maajabu zaidi ni kuwa tuna vitabu viwili ambavyo ni Bibilia na Quran, lakini kwasababu watu wamekuja na tafsiri zao za haya maandiko, leo tuna madhehebu kibao kwa kila dini wakati Mungu tunaambiwa ni mmoja.
Matokeo ya hali nii mtu anazaliwa na kukulia katika dhehebu fulani mfano mkatoliki, baadae anahama anakuwa mlokole kwa hoja hawezi kukombolewa kupitia ukatoliki au mtu anzaliwa na kukulia katika ukristo, akikua anaona ukristo sio dini sahihi anahamia kwenye uislamu and vice versa.
Kituko kingine ni mtu kubadili dini kisa kuoa au kuolewa. Huu ndio uthibitisho hizi dini sometimes tunaburuzana tu na wala hatuziheshimu kabisa.
Sasa swali linakuja, kwanini mtoto anapozaliwa asiachwe mpaka awe mtu mzima awezi kufanya maamuzi sahihi afuate dini gani na dhehebu gani au asifuate dini kabisa?
Kama tunaona mtu mwenye umri wa chini ya miaka 18 hawezi kuwa na maamuzi sahihi kwenye sanduku la kura, ni kwanini kwenye mambo sensitive kama haya ya kiimani turuhusu watoto kuburuzwa na wazazi wao kiiamini kwa kutakiwa au kuachwa kufuata dini za wazazi wao?
Mtu anapobadili dini au dhehebu, huwa anatubu kuwa alikuwa amepotoka, na kama hatubu, hiyo dhambi ni nani anastahili kuibeba kama sio mzazi au mlezi?
Tukumbuke baadhi ya hizi dini na madhehebu yametokana tu na mitazamo/tafsiri za wanadamu kama sisi.
Tuwaache watoto mpaka watopofikia utu uzima(walau miaka 21) ndio wachague dini na dhehebu au kutokuwa na dini kabisa wakiona ni sahihi kufanya hivyo.
Tubadilike.
Kusomwa kwa maana ipi?Ni wapi Tanzania Quruani inasomwa kiswahili?!
Kusomwa Kiswahili.Kusomwa kwa maana ipi?
Hata hawa wanaopinga dini nao unakuta wengi walilelewa katika familia na misingi ya dini ila wamekuja kubadilika ukubwani na kufuata wanavyoona wao ni sahihi.Tafakuri sana. Mtu akifika umri huo na hakjasoma kitu atakuwa ameshapotea.
Sasa mini kama mzee nina wajibu kufunza yale mema ninayo ya Fuata. na atapokuja kuwa mkubwa anayo haki ya kwenda anako taka na kufuata anacho kiona yeye bora.
Anayo haki kukataa yale niliyo mfunza.
Na mie ninayo haki ya kumkubali awe nami au nifukuze awe mbali nami
Bado sijakuelewa kusomwa vp? Kwa sababu tafsiri ya Qur'an ya kiswahili ipo na husomwa maana sio waislamu wote wanajua kiarabu. Au unakusudia kwamba hadi kwenye ibada itumike tafsiri ya kiswahili ya Qur'an?Kusomwa Kiswahili.
Quruani kusomwa Kiswahili, unashindwaje kuelewa?!Bado sijakuelewa kusomwa vp? Kwa sababu tafsiri ya Qur'an ya kiswahili ipo na husomwa maana sio waislamu wote wanajua kiarabu. Au unakusudia kwamba hadi kwenye ibada itumike tafsiri ya kiswahili ya Qur'an?
Yani iwe inasomwa tafsiri yake tu?Quruani kusomwa Kiswahili.
Quruani yenyewe isomwe Kiswahili nikupe mfano kuna Biblia za Kiarabu huko Lebanon zinasomwa Kiarabu.Yani iwe inasomwa tafsiri yake tu?
Je unahisi watoto tulionao wanamjua mungu au wamemkariri mungu au wameaminishwa tu kumjua munguKuabudu kunaanzia utotoni, Baba na Mama wanakwenda kanisani au msikitini na watoto wao ili wamjue Mungu tangu wakiwa wadogo.
Itakuwaje km watoto wataamuriwa kupiga kura kwa kufuata nyao za wazazi waoKupiga kura ni suala la kisiasa, lengo ni yule anayeingia kwenye kachumba na kupiga kura awe anajua ukubwa wa majukumu ya huyo anayempigia kura.
hapa sina nenoNgoma ya kitoto haikeshi, kuna msemo mwingine unasema mtoto halali na pesa. Walioibuni hiyo misemo wanaelewa kwa kina mipaka ya shughuli zenye kuwajumuisha watoto inaishia wapi.
Hujielewi na wala hujui unachowasilisha,unachosha watu kusoma ugolo wako.Elewa nn maana ya tofauti Alafu ndio ulete mada hapa.maana hapa tunajifunza mambo mengi ikiwa ni kutoka na kwako pia.Moja ya mambo yanayovuruga sana wanadamu ni mambo ya imani ambayo msingi wake ni kuamini bila kuhoji na kuhoji ni sawa na kukufuru(unamezeshwa).
Maajabu zaidi ni kuwa tuna vitabu viwili ambavyo ni Bibilia na Quran, lakini kwasababu watu wamekuja na tafsiri zao za haya maandiko, leo tuna madhehebu kibao kwa kila dini wakati Mungu tunaambiwa ni mmoja.
Matokeo ya hali nii mtu anazaliwa na kukulia katika dhehebu fulani mfano mkatoliki, baadae anahama anakuwa mlokole kwa hoja hawezi kukombolewa kupitia ukatoliki au mtu anzaliwa na kukulia katika ukristo, akikua anaona ukristo sio dini sahihi anahamia kwenye uislamu and vice versa.
Kituko kingine ni mtu kubadili dini kisa kuoa au kuolewa. Huu ndio uthibitisho hizi dini sometimes tunaburuzana tu na wala hatuziheshimu kabisa.
Sasa swali linakuja, kwanini mtoto anapozaliwa asiachwe mpaka awe mtu mzima awezi kufanya maamuzi sahihi afuate dini gani na dhehebu gani au asifuate dini kabisa?
Kama tunaona mtu mwenye umri wa chini ya miaka 18 hawezi kuwa na maamuzi sahihi kwenye sanduku la kura, ni kwanini kwenye mambo sensitive kama haya ya kiimani turuhusu watoto kuburuzwa na wazazi wao kiiamini kwa kutakiwa au kuachwa kufuata dini za wazazi wao?
Mtu anapobadili dini au dhehebu, huwa anatubu kuwa alikuwa amepotoka, na kama hatubu, hiyo dhambi ni nani anastahili kuibeba kama sio mzazi au mlezi?
Tukumbuke baadhi ya hizi dini na madhehebu yametokana tu na mitazamo/tafsiri za wanadamu kama sisi.
Tuwaache watoto mpaka watopofikia utu uzima(walau miaka 21) ndio wachague dini na dhehebu au kutokuwa na dini kabisa wakiona ni sahihi kufanya hivyo.
Tubadilike.
Mkuu nimeeleza kwamba Biblia hizi tunazoona zimeandikwa kiingereza,kiarabu au kiswahili ni tafsiri za biblia. Na Qur'an nayo ipo tafsiri ya kiingereza,kiswahili,kifaransa n.kQuruani yenyewe isomwe Kiswahili nikupe mfano kuna Biblia za Kiarabu huko Lebanon zinasomwa Kiarabu.
Quruani ni ujumbe sio lugha unaweza kusoma Quruani KiswahiliMkuu nimeeleza kwamba Biblia hizi tunazoona zimeandikwa kiingereza,kiarabu au kiswahili ni tafsiri za biblia. Na Qur'an nayo ipo tafsiri ya kiingereza,kiswahili,kifaransa n.k
Ndio ni ujumbe na ndio maana ipo hadi tafsiri ya Qur'an ya kiarabu, kwa maana hiyo tafsiri ya Qur'an sio kwamba ni kutafsiri huo ujumbe kwa sababu tu upo kwenye lugha ya kiarabu bali ni kutafsiri maana ya ujumbe wenyewe iwe kwa kiarabu chenyewe au kwa lugha zengine.Quruani ni ujumbe sio lugha unaweza kusoma Quruani Kiswahili