kama mtu katoa mimba ya mwezi mmoja

kama mtu katoa mimba ya mwezi mmoja

tumia antibiotics...ulivyotolewa nna wasiwasi hukupewa dawa za kukufany usiendelee kuvuja...usirudie tena
 
  • Thanks
Reactions: THT
habari za muda wana jf dr
naomba kuuliza kama mtu katoa momba ya mwezi mmoja hivi alafu akawa na tatizo la kuvuja damu kwa kipindi kama cha wiki mbili na zaidi tatizo linaweza kuwa nn?? na atumie dawa gani/tiba gani??


Mwambie atumie antibiotics,hususan Amoxicillin ndio zinakuwa recommended
 
  • Thanks
Reactions: THT
Nenda kwa daktari akusafishe akupe na antibiotics usirudie tena kitendo hicho.
 
habari za muda wana jf dr
naomba kuuliza kama mtu katoa momba ya mwezi mmoja hivi alafu akawa na tatizo la kuvuja damu kwa kipindi kama cha wiki mbili na zaidi tatizo linaweza kuwa nn?? na atumie dawa gani/tiba gani??

Hio ni hali ya kawaida mkuu na inategemea mtu na mtu mwingine mpaka mwezi anavuja tu!kama imetolewa na mtaalam wa afya kwenye kituo basi ondoa hofu ila kama imetolewa nyumbani kienyeji au kumeza tu dawa inaweza kueta shida

Mgonjwa aende hospital kwa utaalam zaidi,akichelewa anaweza akapata maambukizi kwenye kizazi
 
Huko kutoa mimba ni kwa sababu za kihospitali au ni kwa sababu za hakuitaka hiyo mimba? Arudi tena hospitali kwa uchunguzi wa nini kinasababisha damu kuendelea kutoka. Kwa sababu ilitakiwa hata siku tatu nyingi damu ziwe zishakata.
 
Nakumbuka nilipokua na mimba ilitoka ikiwa na mwezi na nusu nikasafishwa nikapesa dawa hizi..DOXY CAPSULE 100 MG AZTHROMYCIN TAB 500MG PIROXICAM USP 20 MG, sasa kwenye case yako nakushauri nenda kamuone dr..
 
Pole sana, anzia polisi waeleze ulichokifanya. Kisha nenda hospitali ukapate dawa.

Ukipona njoo huku kwenye jumba letu la ibada ili umweleze Muumba nini umekifanya na uombe msamaha. Salamu kwa Wema
 
Fuata itifaki sahihi, toa sababu ya wewe kutoa mimba, sehemu/uchochoro ulipotolea mimba, saa, siku na mwezi..baada ya hapo nenda polisi tena makao makuu wakupatie PF3 then kamuone dr. Ukipona nenda kanisani au msikitini kamuombe muumba wako msamaha..
 
tiba rahisi kabisa ni SEX...trust me after sex atableed ck 1 au 2 then inaacha
 
Hio ni hali ya kawaida mkuu na inategemea mtu na mtu mwingine mpaka mwezi anavuja tu!kama imetolewa na mtaalam wa afya kwenye kituo basi ondoa hofu ila kama imetolewa nyumbani kienyeji au kumeza tu dawa inaweza kueta shida


Mgonjwa aende hospital kwa utaalam
zaidi,akichelewa anaweza akapata maambukizi kwenye kizazi

imetolewa na mtaalam kabisa mkuu
 
imetolewa na mtaalam kabisa mkuu

pole sana ila ni kawaida mwanamke kutokwa na damu mda mrefu baada ya abortion usababishwa na vitu vingi ila sababu moja wapo ni ukuta wa mimba wa mwanamke kuwa mgumu na ivyo usababisha mimba kuchelewa kutoka na inapotoka bac damu utoka kwa cku nyingi zaid...but nikutie moyo tu hiyo ni kawaida tu ila kuwa na tahadhali ukiona hali inazidi kuwa mbaya mcheki dactari aliye mpa vidonge hivyo vya abortion..
 
Back
Top Bottom