johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Yehova ni Jina la kimadhabahu ๐Sio kweli, Allah na Yehova ni Miungu wawili tofauti. Ndio mana kina Mungu hapo anautaratibu wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yehova ni Jina la kimadhabahu ๐Sio kweli, Allah na Yehova ni Miungu wawili tofauti. Ndio mana kina Mungu hapo anautaratibu wake.
Hapana Isa alikuwa zeluzeluMungu ni mmoja ndio sababu kuna Yesu kwa Wakristo na Issa bin Mariam kwa Waislamu ni yule yule
Kuna Moses kwa Wakristo na Mussa kwa Waislamu ni yule yule
๐๐๐๐๐ผ๐ผ๐ผ๐๐ฅ
Una kapweinti lakini hujakaweka sawaMoody sio mtume wa Mungu,alipokea false revelation kutoka kuzimu.
Holy spirit alivyomaliza kuandika bible,alitoa onyo mtu yeyote asiongeze wala kupunguza neno lolote kwenye bible.(Ufu 22:18-19)
Ila moody kwa ubishi akapokea false revelation,ufunuo uliokinyume na mitume wengine wote(Anti-christ revelation) akawalisha watu matango pori.
Muhammad mwenyewe sio mtume wala si chochote. Hatambuliki na maandiko yote yaliomtangulia. Waislamu wana fungus kichwani.Nimemsikia shehe wa DSM sheikh Walid akisema Mtume Muhammad SAW ndiye Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu
Swali:
Hawa akina Mtume Mwamposa na wenzake ambao sheikh mstaafu wa mkoa wa DSM Alhad Musa Salum alisema hata wake za mashehe wanaenda Kawe kuombewa ni Mtume wa ngapi na wa nani?
Hapana mungu sio mmoja, mungu wa kikristo (Yesu) na mungu wa kiislamu(allah) wana ideology na mitazamo tofauti kabisa.Mungu ni mmoja
Wakristo hapa ndo tunapofeli, tunapo mfananisha Yesu kristo na Muhammad, au tunapomfananisha Yesu kristo na Issa bin Mariam na tunapomfananisha Yehovah na Allah.Yesu kwa Wakristo na Issa bin Mariam kwa Waislamu ni yule yule
Kina Mwamposa na kuhani Mussa ni mitume wa ukweli?Muhamadi nae ni wa uongo tu iwaje yeye awe wa mwisho kuja lakin siku za mwisho ataekuja kwaajili ya unyakuo awe ni Yesu
Wa uongo hao ndugu una macho lakin unakua kipofu? Una maskio lakn unakua kiziwi? Hao mwamposa na mussa ni manabii wa shetaniKina Mwamposa na kuhani Mussa ni mitume wa ukweli?
Muhammad ni mtume wa mungu feki anayeitwa Allah hao wengine ni mitume wa Mungu wa kweli,Mungu wa Israel,Mungu wa Isaka,Mungu wa Ibrahim lakini ni kama wanamaanisha wanayoyafanya.Nimemsikia shehe wa DSM sheikh Walid akisema Mtume Muhammad SAW ndiye Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu
Swali:
Hawa akina Mtume Mwamposa na wenzake ambao sheikh mstaafu wa mkoa wa DSM Alhad Musa Salum alisema hata wake za mashehe wanaenda Kawe kuombewa ni Mtume wa ngapi na wa nani?
Mbona mwamedi hakuombea umeme?๐๐๐๐๐
Mitume au wahuni tu, Mitume gani wameshindwa kuombea hata umeme tu
Sure mfano Mungu wa Wakristo yeye Mbigu yake ni kuabudu na kusifu na huku kwingine ni mwendo wa ngono tu na wanawake 72.๐๐Hapana mungu sio mmoja, mungu wa kikristo (Yesu) na mungu wa kiislamu(allah) wana ideology na mitazamo tofauti kabisa.
Wakristo hapa ndo tunapofeli, tunapo mfananisha Yesu kristo na Muhammad, au tunapomfananisha Yesu kristo na Issa bin Mariam na tunapomfananisha Yehovah na Allah.
Yesu na Issa ni characters tofauti kabisa, japokuwa waislamu wanalazimisha sana kumtambulisha Issa kama ndo huyohuyo yesu ila wanajidanfanya tuu.
Eye witnesses kama mathayo, Yohana na Petro waliotembea na yesu na kuishi naye wamerekodi matukio yake na wakatuthibitishia kwamba yesu alibatizwa, alikufa na kufufuka na yeye ndiye mwana wa mungu aliye hai, cha kushangaza anakuja mwarabu mmoja kutoka saudia miaka 600 baada ya yesu, hajamwona yesu, hajatembea nae, hajawahi kuongea na mwanafunzi yeyote wa yesu hata mmoja, alaf analeta story yake kuhusu mtu asiyemjua na watu wanamwamini, it doesn't even make sense.
Yesu na Issa ni two different characters.
Mmoja tumepata historia yake yote kupitia eye witnesses walioishi nae na mwingine tulisimuliwa na mwarabu wa saudia ambaye hakuwa na ukaribu wowote na yesu hata wanafunzi wake.