Kama Mungu angefanikisha ndoto ya kila Mtanzania sasa tungekuwa na Marais laki 1, wanajeshi ml.10, marubani mil.7, madaktari mil. 10, wanasheria ml.15

Kama Mungu angefanikisha ndoto ya kila Mtanzania sasa tungekuwa na Marais laki 1, wanajeshi ml.10, marubani mil.7, madaktari mil. 10, wanasheria ml.15

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Ahahaha kweli Afrika, kila mtoto ukimuulizia ndoto yako nini atakuambia ni kuwa rubani, daktari, mwanasheria, RAIS au mjeda.

Wachawi tumewachoka sasa, hebu rudisheni ndoto za Watanzania walizoota walipokuwa primary na sekondari.
 
Niemefurahi sana!! kazi yangu humo imo!! daaa safi sana kuuumbe inafikiriwaga sana na watoto ngoja nikapendishe drs kwanza!!.....

cha ajabu waalimu wao wanao wafundisha hawafikirii kuchukua kazi zao!! mweee!! haya basi uhasibu pia hawatki??uandishi wa habari je?? wafanya biashra?? dalali wakulima wakubwaaa duu na ndo kwenye hela huko!
 
Back
Top Bottom