Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

kombaME

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
2,115
Reaction score
2,818
Habarini humu!

Moja kati ya maswali ambayo najiuliza ni kama Mungu hayupo sasa mbona ni jina maarufu sana, nafikiri ni jina pekee lenye kuabudiwa kwa namna tofauti tofauti.. sasa kama hayupo kwanini anaabudiwa kiasi hiki Dunia nzima!

Na kama alitungwa tu na binadamu, hao waliomtunga huyu Mungu wako wapi? inawezekanaje waliomtunga Mungu wasiwe maarufu kuliko Mungu mwenyewe? Ni nani ana ushahidi wa wazi kuhusu watu waliomtunga Mungu, wapo wapi na ni akina nani waliotunga tu uwepo wa Mungu?

Of course ni ngumu kuthibitisha uwepo wake kwa njia na kwa macho ya mwili ila effect yake ipo dhahiri kabisa, sioni kama kuna sababu ya kukataa uwepo wake eti kisa hatuwezi kumthibitisha, mwana huwezi kukithibitisha kitu usichokijua, na haina maana kama kitu hukijui basi hakipo.

Pia watu wengi ambao wanapinga uwepo wa Mungu just kwa sababu hathibitishiki kimwili hawapingi uwepo wa shetani japo naye pia hata hathibitishiki kimwili, why?

Anyway, kwa sababu wanaopinga uwepo wa Mungu wanasema Mungu ni nadharia tu na ametungwa tu na watu, sasa hao watu wanatungaje jina ambalo linaabudiwa kuliko wao? tena ni jina maarufu na kila lugha Duniani lina namna yake ya kumwita ili mradi tu lazima jina Mungu liwepo na liabudiwe.
 
Hila za shetani.

Shetani anajua wazi anamuda mchache sana kufikia hukumu take hivyo anajitahidi kuwahadaa watu wengi zaodi ili aende nao motoni

No wazi ukianza kupinga uwepo Wa Mwenyezi Mungu utafkia mahala utakwama uwe ni kwa vigezo vya
Logic,facts ama elimu yeyote ile.

Mwenyezi Mungu no yeye yule Jana Leo na atakuwepo milele, uwezo wake hauchunguziki. He is very powerful God na wala huwezi kumfananisha na kitu kingine chochote hapa duniani na ulimwenguni kwa ujumla.

Ngoja nikupe elimu kidogo.

Sisi wakristo tunafundishwa kwamba Mwenyezi Mungu yupo mahala kotee, ishu iko hivi kwa kila kitu, kifaa ama kiumbe chochote kimeumbwa kwa chembechembe ndogo sana ambazo huitwa atom.

Atom hizi zimezungukwa na miduara tofauti tofauti kulingana na aina ya atom. Miduara hi I inaitwa shell.

Katika shell hizi Kuna electrons ambazo zipo katika mpangilio Wa 2:8:8....yaani shell ya kwanza no electron mbili then 8......

Unaambiwa virus tuvpamoja na udogo wake ana millions of electrons......sasa hizi electrons huwa zonazalisha power of Nature kwamba ikitokea electron moja imemove toka shell moja kwenda nyingine basis ama nguvu iundwe ama owe consumed na hapo ndipo inawezekana kukaundwa kitu kipya chenye Tania tofauti na awali.

Sasa hi power of Nature ni mkono wa Mwenyezi Mungu upo kwenye kila kiumbe,kitu,MTU ama kitu.bYaani chochote kile.

God is Almighty
He will last forever.
 
Hata mimi naamini Mungu yupo ila argument unayotumia haina nguvu yoyote ile.
Kwa kua anajulikana kila kona basi ndicho kitu kinachomfanya a~exist? Hehehe mbona watu wanamuongelea Spiderman, Captain America dunia nzima lakini ni story za kufikirika tu.
 
1471415246298.jpg
 
mungu yupo,na wala hajatungwa,ukitaka kumjua mungu soma vitabu vyake,mwenyewe amesema vipo vinne(4)zaburi,taurat,injili,na quran,utamjua vizuri mungu,dalili za uwepo wake kuwa kwa usiku na mchana,nyota na mwezi na jua,na mbingu,bahari,wanyama mimea,binadamu n,k,hvyo vyote chimbuko lake ni mungu,ukikataa utakataa kwa mapenzi yako lakini,kiukweli,mungu yupo,
 
Wanasayansi wanaita intelligent design (ID). Watu wengi hasa wanasayansi wanapingana na kwa jinsi Mungu/ mungu anavyoelezewa kwani maelezo hayajitoshelezi halafu yanakinzana wakati fulani.

Jiulize kwa nini Vatican wameweka observatory centre/ station ili ku-study universe badala ya kuelezwa tu na Roho Mtakatifu ambaye ana-communicate nao constantly?

Home Page Vatican Observatory

Kwenye dhehebu moja la kikristo wanafundishwa/ wanaelezwa kuwa kila mwamini ana 'malaika mlinzi', sasa iweje baadhi ya 'waamini' wanakumbwa na matatizo? Wengine wanasema kazi ya huyo malaika ni kulinda roho na wala sio mwili lakini kama ni hivyo basi shetani angeambulia patupu.
 
Kauli fikirishi hii...na hasa kwa open minded.
 
Mungu hayupo.

Idea ya Mungu kuwapo inapata umaarufu kwa sababu watu wengi wavivu hawataki kufikiri na hawataki kuchukua responsibility, wanataka mungu awepo ili achukue dhamana ya kutatua mambo yote.

Pia watu wengi hawafikirii logically, wanafikiria emotionaly.

Pia watu wengi wanaogopa kusema wanachofikiri na ku question uwepo wa mungu kwa sababu wanaogopa kuonekana wako tofauti.

Pia kusema huamini kuwepo mungu kunaweza kukukosanisha na familia, jamaa, rafiki, kazini etc.

Kitu kukubalika haina maana ni cha kweli. Kuna wakati watu waliamini dunia ni bapa na si tufe. Hilo halikufanya dunia iwe bapa.

Kuna wakati watu waliamini jua linazunguka dunia. Hilo halikufanya jua lizunguke dunia.

Hata kama watu wote wataamini mungu yupo, kama hayupo hayupo tu.

Kama unasema mungu yupo, thibitisha mungu yupo.
 
Hila za shetani.

Shetani anajua wazi anamuda mchache sana kufikia hukumu take hivyo anajitahidi kuwahadaa watu wengi zaodi ili aende nao motoni

No wazi ukianza kupinga uwepo Wa Mwenyezi Mungu utafkia mahala utakwama uwe ni kwa vigezo vya
Logic,facts ama elimu yeyote ile.

Mwenyezi Mungu no yeye yule Jana Leo na atakuwepo milele, uwezo wake hauchunguziki. He is very powerful God na wala huwezi kumfananisha na kitu kingine chochote hapa duniani na ulimwenguni kwa ujumla.

Ngoja nikupe elimu kidogo.

Sisi wakristo tunafundishwa kwamba Mwenyezi Mungu yupo mahala kotee, ishu iko hivi kwa kila kitu, kifaa ama kiumbe chochote kimeumbwa kwa chembechembe ndogo sana ambazo huitwa atom.

Atom hizi zimezungukwa na miduara tofauti tofauti kulingana na aina ya atom. Miduara hi I inaitwa shell.

Katika shell hizi Kuna electrons ambazo zipo katika mpangilio Wa 2:8:8....yaani shell ya kwanza no electron mbili then 8......

Unaambiwa virus tuvpamoja na udogo wake ana millions of electrons......sasa hizi electrons huwa zonazalisha power of Nature kwamba ikitokea electron moja imemove toka shell moja kwenda nyingine basis ama nguvu iundwe ama owe consumed na hapo ndipo inawezekana kukaundwa kitu kipya chenye Tania tofauti na awali.

Sasa hi power of Nature ni mkono wa Mwenyezi Mungu upo kwenye kila kiumbe,kitu,MTU ama kitu.bYaani chochote kile.

God is Almighty
He will last forever.
ww unakitetea kitu ambacho haukijui.
 
Anakeambia uwezo wa mungu haichunguziki, hapo kasjakuambia mungu ni yule yule jana leo na milele.

Kama uwezo wa mungu hauchunguziki, huyu kajuaje mungu ni yule yule jana leo na milele?
ukitaka kupima akili ya mtu zungumzia swala la mungu ndio unaweza kugundua kwamba humu jf kuna matahira wengi sana.
lakini ninauhakika kufikia mwaka 2050 watanzania wengi watakuwa wamejua mungu hayupo.
 
Back
Top Bottom