kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,818
Habarini humu!
Moja kati ya maswali ambayo najiuliza ni kama Mungu hayupo sasa mbona ni jina maarufu sana, nafikiri ni jina pekee lenye kuabudiwa kwa namna tofauti tofauti.. sasa kama hayupo kwanini anaabudiwa kiasi hiki Dunia nzima!
Na kama alitungwa tu na binadamu, hao waliomtunga huyu Mungu wako wapi? inawezekanaje waliomtunga Mungu wasiwe maarufu kuliko Mungu mwenyewe? Ni nani ana ushahidi wa wazi kuhusu watu waliomtunga Mungu, wapo wapi na ni akina nani waliotunga tu uwepo wa Mungu?
Of course ni ngumu kuthibitisha uwepo wake kwa njia na kwa macho ya mwili ila effect yake ipo dhahiri kabisa, sioni kama kuna sababu ya kukataa uwepo wake eti kisa hatuwezi kumthibitisha, mwana huwezi kukithibitisha kitu usichokijua, na haina maana kama kitu hukijui basi hakipo.
Pia watu wengi ambao wanapinga uwepo wa Mungu just kwa sababu hathibitishiki kimwili hawapingi uwepo wa shetani japo naye pia hata hathibitishiki kimwili, why?
Anyway, kwa sababu wanaopinga uwepo wa Mungu wanasema Mungu ni nadharia tu na ametungwa tu na watu, sasa hao watu wanatungaje jina ambalo linaabudiwa kuliko wao? tena ni jina maarufu na kila lugha Duniani lina namna yake ya kumwita ili mradi tu lazima jina Mungu liwepo na liabudiwe.
Moja kati ya maswali ambayo najiuliza ni kama Mungu hayupo sasa mbona ni jina maarufu sana, nafikiri ni jina pekee lenye kuabudiwa kwa namna tofauti tofauti.. sasa kama hayupo kwanini anaabudiwa kiasi hiki Dunia nzima!
Na kama alitungwa tu na binadamu, hao waliomtunga huyu Mungu wako wapi? inawezekanaje waliomtunga Mungu wasiwe maarufu kuliko Mungu mwenyewe? Ni nani ana ushahidi wa wazi kuhusu watu waliomtunga Mungu, wapo wapi na ni akina nani waliotunga tu uwepo wa Mungu?
Of course ni ngumu kuthibitisha uwepo wake kwa njia na kwa macho ya mwili ila effect yake ipo dhahiri kabisa, sioni kama kuna sababu ya kukataa uwepo wake eti kisa hatuwezi kumthibitisha, mwana huwezi kukithibitisha kitu usichokijua, na haina maana kama kitu hukijui basi hakipo.
Pia watu wengi ambao wanapinga uwepo wa Mungu just kwa sababu hathibitishiki kimwili hawapingi uwepo wa shetani japo naye pia hata hathibitishiki kimwili, why?
Anyway, kwa sababu wanaopinga uwepo wa Mungu wanasema Mungu ni nadharia tu na ametungwa tu na watu, sasa hao watu wanatungaje jina ambalo linaabudiwa kuliko wao? tena ni jina maarufu na kila lugha Duniani lina namna yake ya kumwita ili mradi tu lazima jina Mungu liwepo na liabudiwe.