Sasa hujaelewa nini? Haukusema hakuna maelezo ila umesema hakuna maelezo yenye kuridhisha,na ndiyo Mimi nayataka hayo maelezo ambayo hayaja kuridhisha wewe.Mbona neno 'hakuna' umeliacha? Hukuliona?
Sasa hujaelewa nini? Haukusema hakuna maelezo ila umesema hakuna maelezo yenye kuridhisha,na ndiyo Mimi nayataka hayo maelezo ambayo hayaja kuridhisha wewe.
Weeeee, acha uongo!!! Hebu thibitisha hilo.Nasema hivi sababu Mungu si hadidhi na nimemwona physical bro
Duh!Ya Google..
Mkuu have you heard Titanic historyMungu huyu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kifupi, hayupo na hawezi kuwepo.
Hayupo na hawezi kuwepo kwa sababu ndogo tu.
Ameshindwa kupasi mtihani mdogo tu wa akili ndogo tu ya kibinadamu.
Mtihani wa logical consistency.
Ameshindwa (rather idea ya kuwepo kwake imeshindwa, yeye hayupo hivyo hajashindwa kwa sababu hayupo) mtihani wa logical consistency kwa sababu ana contradiction.
Ana contradiction kwa nini?
Kwa sababu, mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote, alitakiwa kuwa na upendo mkubwa kuliko upendo wowote wa kibinadamu, alitakiwa kuwa na uwezo mkubwa kuliko uwezo wowote wa kibinadamu na alitakiwa kuwa na ujuzi kuliko ujuzi wowote wa kibinadamu.
Tunajua kuna binadamu wana upendo kiasi hawawezi kuacha kibaya chochote ambacho kipo katika uwezo wao wa kukizuia kitokee.
Huyu mungu ambaye ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, halafu bado akaamua kuumba ulimwengu ambao mabaya na shetani wanaweza kutokea, ana ji cintradict.
Ana opwrate katika standards zilizo lower than standarda za watu.
Kazini kwetu ukiwa software engineer, halafu ukawa na uwezo wa kutengeneza software system (universe) ambayo haina failures (evil), na bado ukatengeneza software system ambayo ina failures, failures zikatokea, unakuwa fired.
Kwa nini sisi binadamu tujiwekee standards kubwa zaidi ya standards tunazomuwekea mungu?
Mungu huyu hayupo. Kwa sababu angekuwepo, ulimwengu huu wenye mabaya usingekuwepo.
Several accounts. Why?Mkuu have you heard Titanic history
What was the reason for it to sunkSeveral accounts. Why?
You must mean what was the reason for it to sink. When answering, I can say "It sunk because..."What was the reason for it to sunk
Titanic received six warnings of sea ice on 14 April but was travelling near her maximum speed when her lookouts sighted the iceberg. Unable to turn quickly enough, the ship suffered a glancing blow that buckled her starboard (right) side and opened five of her sixteen compartments to the sea
Habarini humu!
Moja kati ya maswali ambayo najiuliza ni kama Mungu hayupo sasa mbona ni jina maarufu sana, nafikiri ni jina pekee lenye kuabudiwa kwa namna tofauti tofauti.. sasa kama hayupo kwanini anaabudiwa kiasi hiki Dunia nzima!.
Na kama alitungwa tu na binadamu, hao waliomtunga huyu Mungu wako wapi?.
inawezekanaje waliomtunga Mungu wasiwe maarufu kuliko Mungu mwenyewe?.
Ni nani ana ushahidi wa wazi kuhusu watu waliomtunga Mungu, wapo wapi na ni akina nani waliotunga tu uwepo wa Mungu?.
Of course ni ngumu kuthibitisha uwepo wake kwa njia na kwa macho ya mwili ila effect yake ipo dhahiri kabisa, sioni kama kuna sababu ya kukataa uwepo wake eti kisa hatuwezi kumthibitisha, mwana huwezi kukithibitisha kitu usichokijua, na haina maana kama kitu hukijui basi hakipo..
Pia watu wengi ambao wanapinga uwepo wa Mungu just kwa sababu hathibitishiki kimwili hawapingi uwepo wa shetani japo naye pia hata hathibitishiki kimwili, why?.
Anyway, kwa sababu wanaopinga uwepo wa Mungu wanasema Mungu ni nadharia tu na ametungwa tu na watu, sasa hao watu wanatungaje jina ambalo linaabudiwa kuliko wao? tena ni jina maarufu na kila lugha Duniani lina namna yake ya kumwita ili mradi tu lazima jina Mungu liwepo na liabudiwe.
Au mbaya zaidi bangiNitajuaje kwamba ulivyomwona hukuwa na maruweruwe au ugonjwa wa akili na yupo kweli?
Ukirudia ule uzi wangu wa MAKOSA 10 ALIYOTENDA MUNGU, utapata sababu ya kumwachisha kazi....Mimi tangu nikiwa na miaka 4 hii concept ya kusema Mungu yupo iligoma kuregister kwenye akili yangu kabisa....nina mengi ya kusema ila bado sijajipanga vizuri...ila kuna haja ya kuanzisha FREE THINKER SOCIETY kwa lengo la kukomboa wanyonge wenye utumwa wa kifikra.