Kama mwamba ni mwongo, mbona hamjajibu mapigo ewe Heche na Lema? Semeni muitwe matawini kujieleza.

Kama mwamba ni mwongo, mbona hamjajibu mapigo ewe Heche na Lema? Semeni muitwe matawini kujieleza.

Haya sasa nataka kuuliza kama aliyoyasema mbowe Jana kupitia mwananchi online ni uwongo mbona hakuna Alie jibu mapigo?
Heche ujateuliwa VITI maalumu na mbowe jibu?
Lema wewe kwa.sasa sio lolote si chochote chadema unaitaje press jibu?

Kikatiba kwa Sasa unaweza fukuzwa na uongozi wa Tawi jibu?

Nyinyi vijana kuweni na stara huyu Mzee sio saizi yenu tulieni awatawaze kwa maji ya chumvi.

Tuvuuiiishe MWAMBA tuvuusheeee
Mkuu hiyo HAWAWEZI kujibu. Wanamjibu Wenje kwasababu ni saizi yao. Mbowe sio saizi yao ndio maana alipozindua nyumba yake Hai Lema na Heche walikuwa wahudumu. Ahahahahaha!
 
Wewe ni mhutu kajisalimishe kwanza Uhamiaji, unainajisi sana lugha yetu ya Taifa. Nyie wahamiaji haramu ndiyo mnatuletea shida kujiingiza kwenye siasa za nchi yetu tabia za kishenzi mlizotoka nazo kwenu mnataka kutuletea hapa.
Wewe ni mjinga na mpumbavu zaidi ya wote ninaowajua JF. Lema uwa anajibu mapigo ya Wenje. Sasa kipi kinamshinda kujibu hoja ya Mzee Mbowe? Na Heche kama ana ubavu si amjibu Mzee Mbowe kuwa hakumteua? Sasa hapo Uhutu unatoka wapi?
 
Wewe ni mjinga na mpumbavu zaidi ya wote ninaowajua JF. Lema uwa anajibu mapigo ya Wenje. Sasa kipi kinamshinda kujibu hoja ya Mzee Mbowe? Na Heche kama ana ubavu si amjibu Mzee Mbowe kuwa hakumteua? Sasa hapo Uhutu unatoka wapi?
Sasa kama hujaelewa hoja ilipo unategemea jibu kweli? Naamua kukupuuza tu na huyo kilaza mwenzako sifi leo. Haya leteni matusi mapya naona mumejikita kutukana tu.
 
Sasa kama hujaelewa hoja ilipo unategemea jibu kweli? Naamua kukupuuza tu na huyo kilaza mwenzako sifi leo. Haya leteni matusi mapya naona mumejikita kutukana tu.
Mbowe amesema Lema si lolote si chochote Chadema Kiasi kwamba anaweza kufukuzwa na tawi tu! Just imagine tawi tu!!!

Swali: Lema anabisha kuhusu hilo?
 
Haya sasa nataka kuuliza kama aliyoyasema mbowe Jana kupitia mwananchi online ni uwongo mbona hakuna Alie jibu mapigo?
Heche ujateuliwa VITI maalumu na mbowe jibu?
Lema wewe kwa.sasa sio lolote si chochote chadema unaitaje press jibu?

Kikatiba kwa Sasa unaweza fukuzwa na uongozi wa Tawi jibu?

Nyinyi vijana kuweni na stara huyu Mzee sio saizi yenu tulieni awatawaze kwa maji ya chumvi.

Tuvuuiiishe MWAMBA tuvuusheeee
Mwamba tapeli tu huyo.
 
Haya sasa nataka kuuliza kama aliyoyasema mbowe Jana kupitia mwananchi online ni uwongo mbona hakuna Alie jibu mapigo?
Heche ujateuliwa VITI maalumu na mbowe jibu?
Lema wewe kwa.sasa sio lolote si chochote chadema unaitaje press jibu?

Kikatiba kwa Sasa unaweza fukuzwa na uongozi wa Tawi jibu?

Nyinyi vijana kuweni na stara huyu Mzee sio saizi yenu tulieni awatawaze kwa maji ya chumvi.

Tuvuuiiishe MWAMBA tuvuusheeee
Angekuwa na hoja angehudhuria mdaharo.
Maridhiano ya kitapeli na ccm yamemfanya afanane nao.
Sasa naye anakimbia midaharo kama miccm
 
Mbowe amesema Lema si lolote si chochote Chadema Kiasi kwamba anaweza kufukuzwa na tawi tu! Just imagine tawi tu!!!

Swali: Lema anabisha kuhusu hilo?
Sasa hapo kuna hoja ya kujibu? Angesena kuwa Lemma hana haki ya kutoa maoni yake ndiyo ingekuwa hoja tujadili kama kweli Lemma hana haki ya kutoa maoni yake. Lakini kuwa anaweza kufukuzwa na tawi kwani Lemma maisha yake yanatokana na kuwa mwanachama wa Chadema?
 
Sasa hapo kuna hoja ya kujibu? Angesena kuwa Lemma hana haki ya kutoa maoni yake ndiyo ingekuwa hoja tujadili kama kweli Lemma hana haki ya kutoa maoni yake. Lakini kuwa anaweza kufukuzwa na tawi kwani Lemma maisha yake yanatokana na kuwa mwanachama wa Chadema?
Ahahahahaha!
 
Tuvusheee Mbowe tuvusheeee..... Lissu akikosa uenyekiti pia Tawi lake litamfukuza
 
Wewe ni mhutu kajisalimishe kwanza Uhamiaji, unainajisi sana lugha yetu ya Taifa. Nyie wahamiaji haramu ndiyo mnatuletea shida kujiingiza kwenye siasa za nchi yetu tabia za kishenzi mlizotoka nazo kwenu mnataka kutuletea hapa.
Mbona wewe ni msomali wa Somalia lakini tunakuvumilia tu
 
Haya sasa nataka kuuliza kama aliyoyasema mbowe Jana kupitia mwananchi online ni uwongo mbona hakuna Alie jibu mapigo?

Heche ujateuliwa VITI maalumu na Mbowe jibu?

Lema wewe kwa.sasa sio lolote si chochote CHADEMA unaitaje press jibu?

Kikatiba kwa Sasa unaweza fukuzwa na uongozi wa Tawi jibu?

Nyinyi vijana kuweni na stara huyu Mzee sio saizi yenu tulieni awatawaze kwa maji ya chumvi.

Tuvuuiiishe MWAMBA tuvuusheeee
Umesahau picha ya mwamba na mama imewekwa kwa bango kubwa mbele kabisa ya Mkutano mkuu wa kijani kibichi ukumbini.
 
Back
Top Bottom