Waamuzi hawana mshahara, wanalipwa kwa mechiKwani mwamuzi hulipwa pesa ngapi salary
Nazungumzia mwamuzi wa mechi ya Kabwili FCna wengine wanaopanga kuua move za timu zinapokwenda kufunga bila sababu yoyote.
Je posho yao inafikia hizo pesa?
Kwa mechi pesa ngapiWaamuzi hawana mshahara, wanalipwa kwa mechi
Japo mimi ni simba ila umeongea ukweli mtu...ata ukiangali timu yetu inavyoshambulia ni kama kuku aliekatwa kichwa hatuna 9 wala 10 bwala anagoli 0 assist 0 afu ndio kiungo wetu tegemeziSimba mwanzo alibebwa sana mfano game na geita ila mlikuwa kimya.....je simba kubebwa tena kubebwa goli la wazu linakataliwa ni sawa?
Tulieni dawa iwaingie vizuri. Yani zile tuta game karibu 3 za mwanzo alizopewa Simba, hamkuona ni kubebwa ila hizo move uchwara ndio mnaona Yanga wanabebwa?
Alafu kama anabebwa mbona game 2 za mwisho moja alikufunga 1 umedraw tena kwa kudefence....mkubali Yanga wamebadilika na wanacheza vizuri.....
Galaxy waliwafunga sababu mnaishi katika historia ya msimu uliopita bila kujua quality yenu ndogo
Simba mwanzo alibebwa sana mfano game na geita ila mlikuwa kimya.....je simba kubebwa tena kubebwa goli la wazu linakataliwa ni sawa?
Tulieni dawa iwaingie vizuri. Yani zile tuta game karibu 3 za mwanzo alizopewa Simba, hamkuona ni kubebwa ila hizo move uchwara ndio mnaona Yanga wanabebwa?
Alafu kama anabebwa mbona game 2 za mwisho moja alikufunga 1 umedraw tena kwa kudefence....mkubali Yanga wamebadilika na wanacheza vizuri.....
Galaxy waliwafunga sababu mnaishi katika historia ya msimu uliopita bila kujua quality yenu ndogo
Japo mimi ni simba ila umeongea ukweli mtu...ata ukiangali timu yetu inavyoshambulia ni kama kuku aliekatwa kichwa hatuna 9 wala 10 bwala anagoli 0 assist 0 afu ndio kiungo wetu tegemezi
Simba mwanzo alibebwa sana mfano game na geita ila mlikuwa kimya.....je simba kubebwa tena kubebwa goli la wazu linakataliwa ni sawa?
Tulieni dawa iwaingie vizuri. Yani zile tuta game karibu 3 za mwanzo alizopewa Simba, hamkuona ni kubebwa ila hizo move uchwara ndio mnaona Yanga wanabebwa?
Alafu kama anabebwa mbona game 2 za mwisho moja alikufunga 1 umedraw tena kwa kudefence....mkubali Yanga wamebadilika na wanacheza vizuri.....
Galaxy waliwafunga sababu mnaishi katika historia ya msimu uliopita bila kujua quality yenu ndogo
Umeongea kishabiki sana kijana!Kabwili FC huwa hamuangalii game za Simba.Mnachoangalia ni replay za vipande vifupi vinavyotengenezwa kwa ajili ya kuwa brainwash.Mnabaki mnadanganyana tu kuwa Simba imekwisha,lakini mjue bado tupo games za kimataifa.Ubingwa wenu ni kuifunga tu Simba,mechi zilizobaki mnatafuta kwa hisani ya GSM.
Wapinzani wanawalegezea kwa nini msipige pasi? Hebu jaribuni kupishana na mnyama muone mtakavyofumuliwa
Hahahah!ili mtu azidi kuharibu mambo lazima azidi kuchanganyikiwa.Hakuna Simba mwenye kufikiria kwa style hii wewe ni pure Utopolo.Simba gani hajui hata kutamka jina la Bwalya?
kwa hiyo ukisema wewe Utopolo itaonekana huna akili?Japo mimi ni simba ila umeongea ukweli mtu...ata ukiangali timu yetu inavyoshambulia ni kama kuku aliekatwa kichwa hatuna 9 wala 10 bwala anagoli 0 assist 0 afu ndio kiungo wetu tegemezi
Kwahiyo hutaki?? Kuna muda mikia mnachekeshaga sanaUto,umekula kweli leo ?
Huyo mnyama msimu huu tunecheza nae game 2...moja tumempiga moja mnyama ametoa sare nasisi....una kipi kingine cha kusema kuhusu hiliKabwili FC huwa hamuangalii game za Simba.Mnachoangalia ni replay za vipande vifupi vinavyotengenezwa kwa ajili ya kuwa brainwash.Mnabaki mnadanganyana tu kuwa Simba imekwisha,lakini mjue bado tupo games za kimataifa.Ubingwa wenu ni kuifunga tu Simba,mechi zilizobaki mnatafuta kwa hisani ya GSM.
Wapinzani wanawalegezea kwa nini msipige pasi? Hebu jaribuni kupishana na mnyama muone mtakavyofumuliwa
Siumeona akili zenu, unashindwa leta hoja unahamishia mambo ya jukwaa la mapishi humu....takatakaUto,umekula kweli leo ?
Bwalya amefunga goli mbili na assist mbili kwenye ligi kuu.Japo mimi ni simba ila umeongea ukweli mtu...ata ukiangali timu yetu inavyoshambulia ni kama kuku aliekatwa kichwa hatuna 9 wala 10 bwala anagoli 0 assist 0 afu ndio kiungo wetu tegemezi
Hata mie nimeshangaa adhabu ya kifala kabisa ile miezi mitatu mie nilijua atakula umeme miaka mitatu ili wengine waogopeNazungumzia mwamuzi wa mechi ya Kabwili FCna wengine wanaopanga kuua move za timu zinapokwenda kufunga bila sababu yoyote.
Je posho yao inafikia hizo pesa?