Kama mwamuzi akila milioni 5 halafu akafungiwa miezi mitatu atakuwa na hasara yoyote?

Nazungumzia mwamuzi wa mechi ya Kabwili FCna wengine wanaopanga kuua move za timu zinapokwenda kufunga bila sababu yoyote.
Je posho yao inafikia hizo pesa?
Mpira usha washinda uwanjani mmehamia kwenye lawama
 
Game ya Simba vs Geita referee umeona ameadhibiwa?
Mechi ya Namungo vs Yanga refa kafungiwa miezi mitatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…