makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Huyu atakuwa wale wa jinsia zote zote..Mbona hueleweki mara umepitiliza siku zako mara hii tena unasema unapiga pump
Wewe ni jinsia gani?
Nimepitiliza siku tano, je hii itakuwa mimba?
Nilianza siku zangu tarehe 15/11 na kumaliza 17/11, mzunguko wangu ni wa siku 28 nilitarajia tarehe 12/12 nizione siku zangu lakini mpaka leo kimya, asubuhi ya leo nimepima kipimo (UPT) kinaonyesha Sina mimba na Sina dalili yoyote ya kuwa na mimba,je tatizo ni nini hasa?www.jamiiforums.com
Hahaa..