Pre GE2025 Kama mwanasiasa atakupa fedha, huduma au kukufanyia jambo lolote kwakuwa ni nyakati za uchaguzi maana yake anakuona tahira

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
This is Africa.
Twende kwenye mada

Ikiwa mwanasiasa atakupa fedha, huduma au kukufanyia jambo lolote kipindi cha uchaguzi usipaniki.
Maana yake ni hii; Machoni pake wewe ni tahira. Don't panic.

Yawezekana usiwe tahira kama anavyokuchukulia lakini yeye binafsi anakuhesabu u tahira.

Kama akikuletea maji kipindi cha uchaguzi huku umesotea maji kipindi kirefu kakuona tahira.

Kama hajakupandishia mshahara kipindi kirefu halafu akakupandishia mshahara kipindi cha uchaguzi relax usipaniki wewe ni tahira mbele zake .
 
uzuri ni kwamba serikali sikivu ya CCM, chini ya Rais na kipenzi cha wananchi Tanzania, ambae pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa, akishirikiana na wabunge na mawaziri wa CCM wameitekeleza kwa mafanikio makubwa sana ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo kwa kiasi kikubwa imewaletea ahueni kubwa mno waTanzania.

Hii inaashiria uhakika wa ushindi wa kishindo kwa serikali sikivu ya CCM kurejeshwa madarakani kwa kishindo kikuu serikali za mitaa Nov 27, na ule uchaguzi mkuu wa Oct 2025.

Mungu ibariki Tanzania 🌹
 
Sawa
,kura ni Siri yangu Wacha anipe nitapokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…