Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Uongozi wa CCM hasa mwnyekiti wwtu anayebariki kila wazo ndani ya chama-upinzani unafaida nyingi kuliko hasara.
Hata raisi wetu mpendwa kuwa katika nyazifa hiyo haikuwa bahati mbaya ni kutokana na upinzani uliokuwepo ndani ya chama uliofanya mapaungufu ya wenzake kuonekana wazi wazi mbele ya jamii na badaye walionekana hawana maana na kila mtu aliomba apatikane mbadala.
Raisi kwa namna moja au nyingine kuna mambo fulani umefanya vizuri ambayo yanaweza kufanywa ukumbukwe na watanzania.usitoe nafasi kwenye mambo madogo yakuharibie-kuna msemo unasema baya moja linafuta mazuri 10.
Duniani kote tunafahamu mtawala hawezi mpenda mpinzani wake ambaye ni adui namba moja but tofauti inakuja pale tu namna unavyo dili nao,uki deal nao kiakiri ni ngumu hadhira kufahamu lakini ukienda pasipo mipango ni rahisi kuacha legacy mbaya miongoni wa watu.
Mungu si athumani kama uliona vile swala la katiba ukaliweka kwapani-hii ina maana mpinzani unaweza kumthibiti utakavyo kwa kupitia upande wa pili (serikalini) maana chaguzi zote zinasimamiwa na taasisi za serikali.hapa unauwezo wa kupanga unataka wenyeviti kutoka chama pinzani wangapi kwa kila jimbo- na tokeo likitoka kila mtu ataona sawa.
Sasa hili swala la kuanza lafu zisizo na maana hatua za awali kabisa sio nzuri na hazina afya kwa Taifa.
Lazima tukumbuke hapa duniani kiongozi yoyote hamna anachokacha zaidi ya legacy!
Hata raisi wetu mpendwa kuwa katika nyazifa hiyo haikuwa bahati mbaya ni kutokana na upinzani uliokuwepo ndani ya chama uliofanya mapaungufu ya wenzake kuonekana wazi wazi mbele ya jamii na badaye walionekana hawana maana na kila mtu aliomba apatikane mbadala.
Raisi kwa namna moja au nyingine kuna mambo fulani umefanya vizuri ambayo yanaweza kufanywa ukumbukwe na watanzania.usitoe nafasi kwenye mambo madogo yakuharibie-kuna msemo unasema baya moja linafuta mazuri 10.
Duniani kote tunafahamu mtawala hawezi mpenda mpinzani wake ambaye ni adui namba moja but tofauti inakuja pale tu namna unavyo dili nao,uki deal nao kiakiri ni ngumu hadhira kufahamu lakini ukienda pasipo mipango ni rahisi kuacha legacy mbaya miongoni wa watu.
Mungu si athumani kama uliona vile swala la katiba ukaliweka kwapani-hii ina maana mpinzani unaweza kumthibiti utakavyo kwa kupitia upande wa pili (serikalini) maana chaguzi zote zinasimamiwa na taasisi za serikali.hapa unauwezo wa kupanga unataka wenyeviti kutoka chama pinzani wangapi kwa kila jimbo- na tokeo likitoka kila mtu ataona sawa.
Sasa hili swala la kuanza lafu zisizo na maana hatua za awali kabisa sio nzuri na hazina afya kwa Taifa.
Lazima tukumbuke hapa duniani kiongozi yoyote hamna anachokacha zaidi ya legacy!