Kama mzazi, binti yako ndio amekuja kukuambia kuwa amepata mchumba, ni swali gani la kwanza utamuuliza binti yako?

Kama mzazi, binti yako ndio amekuja kukuambia kuwa amepata mchumba, ni swali gani la kwanza utamuuliza binti yako?

Hili kitu nakumbukaa nilikuwa 4m 1 ,cku hyo npo na mshuwa sebleni ,sister akamletea mshuwa habar km hz kapata mchumba ,,mshuwa alimuuliza tu sister swali mojaa UMEMPENDA ,,sister akajibu ndio baba ,,mshuwa akamwambia km ndio hvyo bac mm sinapingamizi.....

Now n miaka 12 Toka sister Alete mchumba na kuolewaa....
 
Back
Top Bottom