Kama mzazi, binti yako ndio amekuja kukuambia kuwa amepata mchumba, ni swali gani la kwanza utamuuliza binti yako?

Atamwambia mama yake kisha mama yake ndo atamueleza mume wake baada ya kujiridhisha hiyo taarifa ina hadhi ya kumfikia baba. Hii hupunguza aibu ndogo ndogo zinazoletwa na mihemko ya watoto wa kike baada ya kudanganyika huko mtaani akadhani ni mahusiano serious, kina mama wanajua mahusiano ya level gani yana hadhi ya kurasimishwa na kuwasilishwa kwa mzee wa boma.
 
Mie mambo hayo kusema nilikuwa naona aibu sana , shemeji yenu alipokuwa tayari nikamwambia nenda, basi akatuma mshenga, mshenga akafanya na mdogo wangu wa kiume kisha baba akaambiwa, nikaulizwa TU unamjua mtu fulani nikasema ndiyo posa ikapokelewa sasa napika na kupakua
...
 
1. Je, huyo mwanaume ana gari aina ya Bugatti, Lamborghini au Tesla?
2. Anamiliki angalao ndege 3 aina ya Bomberdia B747, B738 au B737?
3. Anamiliki angalau visima 5 vya mafuta huko Uarabuni?
4. Anamiliki hisa ngapi DP World?
5. Anamiliki kifaa chenye uwezo wa kwenda mwezini na kurudi siku hiyo hiyo?
6. Mara ya mwisho huyo mwanaume anataka kukuoa kufanya kikao Cha kibiashara na Puttin, Trump na Elon Musk ilikuwa lini?
7. Ni mrefu, mweusi na ana mwanya?
 
πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Comment ya kikomavu sanaaπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿
 
Wanaweza kupima then mwanao ndio akakutwa anao.
Ni sawa pia kwani huwa yanatokea na nimeisha wahi kushuhudia hilo
Hapo umemuokoa kijana wa watu
Kupima sio ngoma tu hata TB, kisukari, maradhi ya moyo
Mnataka watoto wenye afya eti
Ndio maana wazee wa zamani walipokuwa wanatuchagulia kuoa wapi
Wengine walikuwa wanaangali mpaka familia wana historia gani ya maradhi yanayofuata DNA
Hapo huwa hawaendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…