LGE2024 Kama na 2024 mamia ya majina ya Wagombea wa CHADEMA yanakatwa basi 2019 tatizo halikuwa Hayati Magufuli

LGE2024 Kama na 2024 mamia ya majina ya Wagombea wa CHADEMA yanakatwa basi 2019 tatizo halikuwa Hayati Magufuli

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa

Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano

Sasa tatizo ni nini tena?!

Jumaa Mubarak 😃

Pia soma:
- LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa
-
Chadema waliokoteza watu masokoni na stend walikuwa hawana sifa!
 
Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa

Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano

Sasa tatizo ni nini tena?!

Jumaa Mubarak 😃

Pia soma:
- LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa
-
Kwani waliomsaidia Magufuli kuubaka uchaguzi wa 2020, wote walizikwa naye ?
Jibu ni hapana ndio maana Nape mtumbo mara kadhaa amejitapa hadharani kuwa na uhakika wa kushinda uchaguzi kwa wizi.
 
Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa

Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano

Sasa tatizo ni nini tena?!

Jumaa Mubarak 😃

Pia soma:
- LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa
-
Wakome
 
Y
Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa

Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano

Sasa tatizo ni nini tena?!

Jumaa Mubarak 😃

Pia soma:
- LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa
-
Yule Mpuuzi wa chattle ndio aliasisi huu ushetani!
 
Naliona jeshi likiamka na kuanza kulinda usalama wa ndani pale raia watakapo Anza kupambana na maadui wa ndani (ccm).
Haya tuliyaona Sudan, Burkina Faso, na kwingineko walio amua kuvuruga haki ya wananchi kujichagulia viongozi wao.
Hizi wafanyazo ccm ni dharau na kuleta mauaji.
 
CCM ni JANGA kwa nchi hii,wanafanya mambo kama vile vichwa vyao ni kwa ajili ya kufugia nywele..AIBU
 
Mchawi anajulikana ni Fisiemu. Kuna wachawi hata asemwe na kusimangwa kiasi gani hawezi kubadilika na kuacha uchawi. Hivyo wananchi wenye hasira kali huamua kujichukulia sheria mkononi.
CCM siyo yenye shida bali watu ndiyo wenye shida.
 
Back
Top Bottom