johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa
Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano
Sasa tatizo ni nini tena?!
Jumaa Mubarak 😃
Pia soma:
- LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa
-
Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano
Sasa tatizo ni nini tena?!
Jumaa Mubarak 😃
Pia soma:
- LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa
-