LGE2024 Kama na 2024 mamia ya majina ya Wagombea wa CHADEMA yanakatwa basi 2019 tatizo halikuwa Hayati Magufuli

LGE2024 Kama na 2024 mamia ya majina ya Wagombea wa CHADEMA yanakatwa basi 2019 tatizo halikuwa Hayati Magufuli

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa

Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano

Sasa tatizo ni nini tena?!

Jumaa Mubarak 😃

Pia soma:
- LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa
-
Tatizo ni Katiba mbovu tuliyonayo,
 
Ee Mungu ikikupendeza baada ya uchaguzi mkuu.
 
Mchawi nani? 😃
chadema wajifunze kujaza fomu
Wanaccm , hawana maadili na uwajibikaji ndio shida
Mchawi anajulikana ni Fisiemu. Kuna wachawi hata asemwe na kusimangwa kiasi gani hawezi kubadilika na kuacha uchawi. Hivyo wananchi wenye hasira kali huamua kujichukulia sheria mkononi.
CCM siyo yenye shida bali watu ndiyo wenye shida.
 

Attachments

  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    24.3 KB · Views: 2
Chadema wajiandae tu kuisoma namba. Uchafuzi utakaofanyika mwakani, ule wa 2020 ni chamtoto
Manyangau ya Ccm yakiongozwa na CnC Chura kiziwi yataendelea na wizi hadi siku yakimbizwe madarakani.
 
Media zetu zinasemaje, au bado zipo usa
 
Back
Top Bottom