J John Wickzer Mulholland JF-Expert Member Joined Apr 13, 2023 Posts 6,656 Reaction score 14,403 Nov 8, 2024 #21 johnthebaptist said: Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano Sasa tatizo ni nini tena?! Jumaa Mubarak 😃 Pia soma: - LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa - Click to expand... Tatizo ni Katiba mbovu tuliyonayo,
johnthebaptist said: Ni vilio kila kona kutokea Serengeti hadi Kilosa makamanda wanadai Majina yao yamekatwa kugombea Uongozi wa Serikali za mitaa Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Komredi Kinana alijiapiza mwaka huu hakunaga Jina litakatwa baada ya maridhiano Sasa tatizo ni nini tena?! Jumaa Mubarak 😃 Pia soma: - LGE2024 - Dodoma: CHADEMA wadai kuna figisu majina ya wagombea kukatwa - Click to expand... Tatizo ni Katiba mbovu tuliyonayo,
A al1 JF-Expert Member Joined Mar 2, 2024 Posts 264 Reaction score 503 Nov 8, 2024 #22 Ee Mungu ikikupendeza baada ya uchaguzi mkuu.
J John Wickzer Mulholland JF-Expert Member Joined Apr 13, 2023 Posts 6,656 Reaction score 14,403 Nov 8, 2024 #23 johnthebaptist said: Mchawi nani? 😃 Click to expand... byeyombo said: chadema wajifunze kujaza fomu Click to expand... Gabeji said: Wanaccm , hawana maadili na uwajibikaji ndio shida Click to expand... Tony Laurent said: Mchawi anajulikana ni Fisiemu. Kuna wachawi hata asemwe na kusimangwa kiasi gani hawezi kubadilika na kuacha uchawi. Hivyo wananchi wenye hasira kali huamua kujichukulia sheria mkononi. Click to expand... Barnabas Mashamba said: CCM siyo yenye shida bali watu ndiyo wenye shida. Click to expand... Attachments images (10).jpeg 24.3 KB · Views: 2
johnthebaptist said: Mchawi nani? 😃 Click to expand... byeyombo said: chadema wajifunze kujaza fomu Click to expand... Gabeji said: Wanaccm , hawana maadili na uwajibikaji ndio shida Click to expand... Tony Laurent said: Mchawi anajulikana ni Fisiemu. Kuna wachawi hata asemwe na kusimangwa kiasi gani hawezi kubadilika na kuacha uchawi. Hivyo wananchi wenye hasira kali huamua kujichukulia sheria mkononi. Click to expand... Barnabas Mashamba said: CCM siyo yenye shida bali watu ndiyo wenye shida. Click to expand...
Kipangaspecial JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 20,778 Reaction score 28,722 Nov 8, 2024 #24 00001 said: Chadema wajiandae tu kuisoma namba. Uchafuzi utakaofanyika mwakani, ule wa 2020 ni chamtoto Click to expand... Manyangau ya Ccm yakiongozwa na CnC Chura kiziwi yataendelea na wizi hadi siku yakimbizwe madarakani.
00001 said: Chadema wajiandae tu kuisoma namba. Uchafuzi utakaofanyika mwakani, ule wa 2020 ni chamtoto Click to expand... Manyangau ya Ccm yakiongozwa na CnC Chura kiziwi yataendelea na wizi hadi siku yakimbizwe madarakani.
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 4,740 Reaction score 7,179 Nov 8, 2024 #25 Media zetu zinasemaje, au bado zipo usa