Kama na wewe unakerwa na nyuzi za "TUKUTANE HAPA" basi tukutane hapa

Kama na wewe unakerwa na nyuzi za "TUKUTANE HAPA" basi tukutane hapa

Wazee wa Tukutane Hapa wanakukera nini? JF is a free site learn to be diplomatic and accept other people opinions/ perspectives.
 
Cha ajabu wakati wengine wanaanzisha nyuzi kulegeza wadada, nyuzi taamu, sisi tunalegea na kulainika halafu tunaenda kukazwa na ambao hata huo muda hawana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Labda umaarufu!!
Mimi ndo hao ambao hata huo muda sina
 
kama umewahi kuchukua bar maid tukutane hapa
 
Oya! Tesla! Mzee wa free energy, taratibu Mzee, unajua wewe ndiye uliyegundua kusafirisha umeme kwa njia ya wireless.😎😎

Chaja niaje aje tena?
Walinizungua wenye matransformer dunian ...

Aisee ...

Mwenye tooth pick ansaidie ...

Nyama imenata
 
Kuna watu wanaumwa ugonjwa wa kuanzisha thread!
Yaan anatamani tu kila mara aandike!
Wapo wengi sana ila wana matarajio tofauti!
Umaarufu wa Jf
Mademu wa JF
Like za Jf nk nk
Sie wengine tupo kwa ajili ya kucoment na kulike na mara moja moja vijiuzi vya kawaida kawaida ila tupo tu.

Wale wazee wa KUCOMENT NA KULIKE TUKUTANE HAPA
naunga mkono hoja
 
Mmmh hunitakii mema

Msionitakia mema karibun hapa
Muungane na mwenzenu
Hahahah.

Kwa hiyo, TUKUTANE HAPA.

Dah! Nafikiria kufanya mazoezi hapa juzi nilizidisha squat mapaja yanauma ajabu yani.
 
Kama umewahu kulala Lodge zenye vitanda vibovu usipite bila ku like hapa
 
Back
Top Bottom