Watu na magezeti yetuEndeleeni kufungua nyuzi
Tena fanyeni kugugo skiliz kabisa.Watu na magezeti yetu
Aiiiiiiiiiii.... How to?Tena fanyeni kugugo skiliz kabisa.
EeeAiiiiiiiiiii.... How to?
For the Merlin's only[emoji23]
Mimi ndo hao ambao hata huo muda sinaCha ajabu wakati wengine wanaanzisha nyuzi kulegeza wadada, nyuzi taamu, sisi tunalegea na kulainika halafu tunaenda kukazwa na ambao hata huo muda hawana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda umaarufu!!
Patamu huko
Mtulie makwenu na familia zenuπSisi ambao hatutaki kukutana hapa, tukakutane wapi?
Oya! Tesla! Mzee wa free energy, taratibu Mzee, unajua wewe ndiye uliyegundua kusafirisha umeme kwa njia ya wireless.ππTukutane hapa
Wenye chaji za pin ndogo
Walinizungua wenye matransformer dunian ...Oya! Tesla! Mzee wa free energy, taratibu Mzee, unajua wewe ndiye uliyegundua kusafirisha umeme kwa njia ya wireless.ππ
Chaja niaje aje tena?
Hahaha!Walinizungua wenye matransformer dunian ...
Aisee ...
Mwenye tooth pick ansaidie ...
Nyama imenata
Mmmh hunitakii memaHahaha!
Nyama imenasa! Hahaha. Kwa hasira ondoa meno kabisa zisiwe zinanasa kabisa.
naunga mkono hojaKuna watu wanaumwa ugonjwa wa kuanzisha thread!
Yaan anatamani tu kila mara aandike!
Wapo wengi sana ila wana matarajio tofauti!
Umaarufu wa Jf
Mademu wa JF
Like za Jf nk nk
Sie wengine tupo kwa ajili ya kucoment na kulike na mara moja moja vijiuzi vya kawaida kawaida ila tupo tu.
Wale wazee wa KUCOMENT NA KULIKE TUKUTANE HAPA
Hahahah.Mmmh hunitakii mema
Msionitakia mema karibun hapa
Muungane na mwenzenu
Mkutanoni[emoji3][emoji3]Sisi ambao hatutaki kukutana hapa, tukakutane wapi?