ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Msigwa ni mjinga.Wakuu mjumbe hauwawi,Msigwa anasema safari hii Mwamba kapatikana πππππ
View: https://x.com/MsigwaPeter/status/1867048297602617501?t=xvDaum6IpbDhTvY_NjuWKw&s=19
Mwamba wa ACT Wazalendo anawa zoom tuu ππππ
View: https://x.com/zittokabwe/status/1867117457988636793?t=u2ZhhSonhiMhl-S92nDa8A&s=19
Kati ya wewe,Lisu na Msigwa nani chawa hapa ? ππWewe na msigwa wote ni chawa
Na yeye asubirie kukatwa harafu aende kwenye chama chama chake Cha UDP
πππππMambo ya Chadema yabaki Chadema, ya CCM nayo vile vile
Mengine sasa ni wehu wa vijana wa uvccm
Hao ni CCM toka zamaniWakuu mjumbe hauwawi,Msigwa anasema safari hii Mwamba kapatikana πππππ
Mwamba wa ACT Wazalendo anawa zoom tuu ππππ
View: https://x.com/zittokabwe/status/1867117457988636793?t=u2ZhhSonhiMhl-S92nDa8A&s=19
Zitto ni msaliti haswa
safari hii chadema wana bahati na fursa ya kuionyesha nchi na dunia kuhusu ukomavu wao kidemokrasia itakiimarisha sana chama ili mradi isiwepo mizengwe. we wish you all the best.Msigwa ni mjinga.
Kwani kuna mtifuano gani CHADEMA?
Watu kugombea nafasi zitakazokuwa wazi ni kutifuana?
Kweli kuna watu hawana akili!!
Kila mara Mbowe amesisitiza kuwa CHADEMA siyo ya Mbowe, siyo ya Lisu wala Mnyika, ni chama cha watanzania wote, hivyo kila mtu ana haki kugombea nafasi yoyote alimradi awe na sifa.