Kama namuona Mchungaji Msigwa na Zitto Kabwe wanavyochekelea Chadema wakitifuana

Kama namuona Mchungaji Msigwa na Zitto Kabwe wanavyochekelea Chadema wakitifuana

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Wakuu mjumbe hauwawi,Msigwa anasema safari hii Mwamba kapatikana πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡
1734004991038.png

Mwamba wa ACT Wazalendo anawa zoom tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/zittokabwe/status/1867117457988636793?t=u2ZhhSonhiMhl-S92nDa8A&s=19
 
Wakuu mjumbe hauwawi,Msigwa anasema safari hii Mwamba kapatikana πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/MsigwaPeter/status/1867048297602617501?t=xvDaum6IpbDhTvY_NjuWKw&s=19

Mwamba wa ACT Wazalendo anawa zoom tuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/zittokabwe/status/1867117457988636793?t=u2ZhhSonhiMhl-S92nDa8A&s=19

Msigwa ni mjinga.

Kwani kuna mtifuano gani CHADEMA?

Watu kugombea nafasi zitakazokuwa wazi ni kutifuana?

Kweli kuna watu hawana akili!!
Kila mara Mbowe amesisitiza kuwa CHADEMA siyo ya Mbowe, siyo ya Lisu wala Mnyika, ni chama cha watanzania wote, hivyo kila mtu ana haki kugombea nafasi yoyote alimradi awe na sifa.
 
Mambo ya Chadema yabaki Chadema, ya CCM nayo vile vile

Mengine sasa ni wehu wa vijana wa uvccm
 
Mijitu inashangaa demokrasia ndani ya CHADEMA, hakuna cha ajabu hapa. Ameomba kugombea, atashinda au atashindwa. That will be it
 
Msigwa ni mjinga.

Kwani kuna mtifuano gani CHADEMA?

Watu kugombea nafasi zitakazokuwa wazi ni kutifuana?

Kweli kuna watu hawana akili!!
Kila mara Mbowe amesisitiza kuwa CHADEMA siyo ya Mbowe, siyo ya Lisu wala Mnyika, ni chama cha watanzania wote, hivyo kila mtu ana haki kugombea nafasi yoyote alimradi awe na sifa.
safari hii chadema wana bahati na fursa ya kuionyesha nchi na dunia kuhusu ukomavu wao kidemokrasia itakiimarisha sana chama ili mradi isiwepo mizengwe. we wish you all the best.
 
Back
Top Bottom