Kama naota: Kinachondelea bunge la katiba !!!!!

Kama naota: Kinachondelea bunge la katiba !!!!!

Matango

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
535
Reaction score
118
wapendwa inabidi niamini tu!!!

Malaika wa baba wa taifa mwalimu nyerere
malaika wa sheikh abeid karume wote wameisimamia nchi yao!!!!
Mungu ibariki tanzania.

Wajumbe wote wanaapa kuilinda jamhuri hii ya muungano wa tanzania.

Wale waliokuwa wanasubiri kugawana mbao, wakagawane mbao za vitanda labda
majumbani mwao !!!!

nakumbuka kuna wajumbe jana walihoji mantiki ya kiapo, sijui walikuwa na wasiwasi kuwa wakikikuka nini kitawapata?

Mungu ibariki tanzania ! Mungu warithishe watoto na wajukuu zetu ! Tanzania.



 
Hahahahahaha,Wsjanja tumeisoma kaka,achana na kale kawimbo TBC kabla ya taarifa ya habari,,,Yaani

Baba Nyerere na karumeeeee
Baba Nyerere na Karume.
hakika huchomoki mtu hapa
 
Huo ni uongo wa mchana hakuna sehemu kwenye kiapo inasema watailinda jamuhuri ya muungano labda TV yako ni TV kisogo pôle sana
 
Acha utoto wewe, ni mawaziri wangapi wameapa bungeni na bado wameishia kulifisadi taifa.

Dhamira ya kulitumikia Taifa nikutoka ndani ya moyo na siyo kwa unafiki wa kihivyo.
 
Wangapi wameampa Kuilinda Katiba ya Tanzania ya Mwaka 77,na leo wapo bungeni wanashiriki kuivunja ya mwaka 77,na kutengeneza mpya
 
Wameapa kwa Katiba ya sasa kwani ndiyo inayotumika! Mwakani wataapa kwa katiba mpya ambayo itarejesha nchi yetu ya ahadi Tanganyika.
 
Back
Top Bottom