Kama Nape, Mwigulu, January na sasa Kigwangalla wameathiriwa na siasa chafu basi "huyo" aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu haswa!

Kigwangala suala la Idriss sultan lazima likuondoe mana kawekwa ndani na mtoto pendwa ukatoa makauli yako baada ya hapo umempeleka mbuga ya Ruaha huwez pona hata urukeruke vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utakuwa shabiki wa Mbumbumbu fc maana umezunguuuka weee kumbe uliumia sana kumkosoa huyo GABACHOLI wenu aliyetekwa kisha akavalishwa kangamoko then Vijana wakajitafunia 0713[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe utakuwa shabiki wa Mbumbumbu fc maana umezunguuuka weee kumbe uliumia sana kumkosoa huyo GABACHOLI wenu aliyetekwa kisha akavalishwa kangamoko then Vijana wakajitafunia 0713[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
nawewe ni mja mzito? mbona vijana mnapenda kukurupuka sana? Soma hapa 👇
 
Watu wanajaribu Kumshusha ila ukweli utabaki kuwa hakuna mtu aliyesoma Muhimbili asiwe na akili kichwani...

Tena kipindi hicho huwezi ingia Muhimbili bila kuwa na Div 1or 2 ya Mwanzoni tena iwe Pcb ...

Sent using Jamii Forums mobile app

Akili au busara haziambatani na div 1, au kuwa na elimu kubwa. Reasoning na kufikiri kabla ya kunena ni vipawa tofauti na elimu kubwa
 
Watu wanajaribu Kumshusha ila ukweli utabaki kuwa hakuna mtu aliyesoma Muhimbili asiwe na akili kichwani...

Tena kipindi hicho huwezi ingia Muhimbili bila kuwa na Div 1or 2 ya Mwanzoni tena iwe Pcb ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wengi exposure ni zero kuna watu we gi tu wamesoma muhimbili na UDSM wamepta division 3 form 6,ulikuwa huingii muhimbili au UDSM bila dvsn 1 au 2 kama unafadhiliwa na bodi ya mikopo ila kama ulikuwa unajisomesha mwenyewe ulikuwa unaweza kusoma hata kama ulipata division 3 form 6.
 
Ndio Johnthebaptist nasema kama hawa almaaruf wanne wametendewa hivi huko CCM basi ni hakika huyo Producer aliyeko nyuma ya Pazia ni mtaalamu kweli kweli.
Nape ,Mwigulu na January wameponzwa na siasa za kitoto haswa tamaa ya urais
Kigwangallah anaumizwa na siasa za ulaji wizarani
Majangili yanajipenyeza ili kunchafua waziri kwa kuwa amezidi unoko,Tembo wanafungwa GPS,doria ni kwa kutumia ndege isi na rubani,ukikutwa porini hutoki siku hizi ndio maana wanamchukia Hamisi
 
Na alivyowapa akina Steve Nyerere na Mpoto hela zetu za kodi je

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani sipati picha Ngugai ndio mkuu wa chuo,hao wasomi wanaotoka hapo watakuaje,wakifata mawazo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado napingana nawe katika hili....Si Suala la bodi ya mikopo ila ni uhalisia Muhimbili hasa Md sio nyinginezo walitaka sana div 1&2 Hata mfumo tu wa Tcu (Tanzania central university)ulikuwa ukidahili sana wenye Point kubwa...

Udsm na Muhimbili kuna kozi nyingi sana unasoma hata ukiwa na div 3 ila Md na baadhi ya kozi za Engineering ushindani ni mkubwa sana!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…