Huku tozo, kule kina Simbachawene. Huku dhuluma, watuhumiwa wakuu vyombo vya dola. Haki hamna, masanduku ya kura hayaheshimiwi. Mambo lukumba lukumba, tunatokaje hapa?
Muhimu tukatambua hatutatoka hapa bila kulipa gharama ambayo haitakuwa ndogo. Hatutatoka hapa bila organization wala uongozi uliodhamiria hivyo. Hatutatoka hapa kwa kumsuburia kila mtu kuamka. Hatutatoka hapa kwa kutegeana au kuhoji fulani yuko wapi. Ukombozi huu si jukumu la Mbowe, Lissu au Chadema. Tufike mahali tutambuane na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi yetu, watoto wetu, wajukuu zetu na hata watoto wa wajukuu zetu.
"Ni heri kufa tukiipigania nchi kuliko kufa kwa Malaria." - Prof. Azaveli Lwaitama.
Muhimu tukatambua hatutatoka hapa bila kulipa gharama ambayo haitakuwa ndogo. Hatutatoka hapa bila organization wala uongozi uliodhamiria hivyo. Hatutatoka hapa kwa kumsuburia kila mtu kuamka. Hatutatoka hapa kwa kutegeana au kuhoji fulani yuko wapi. Ukombozi huu si jukumu la Mbowe, Lissu au Chadema. Tufike mahali tutambuane na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi yetu, watoto wetu, wajukuu zetu na hata watoto wa wajukuu zetu.
"Ni heri kufa tukiipigania nchi kuliko kufa kwa Malaria." - Prof. Azaveli Lwaitama.