Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Andiko hili na walione wahusika.
Pamoja na siasa zetu za kunyukana mara Sukuma gang,Msoga na wana kuupiga mwingi lakini kama Nchi tutambue tunalo tishio lililo bayana kabisa la yule 'dogo' naamini wengi mmenielewa hakika anakuja juu sana kimedani.
Si wa kupuuzwa tena!
Amewekeza sana kwenye u-sasa na kila kitu chake sasa ni cha kisasa.
Shime linapokuja suala lihusulo uzalendo tujadili kizalendo.
Pamoja na siasa zetu za kunyukana mara Sukuma gang,Msoga na wana kuupiga mwingi lakini kama Nchi tutambue tunalo tishio lililo bayana kabisa la yule 'dogo' naamini wengi mmenielewa hakika anakuja juu sana kimedani.
Si wa kupuuzwa tena!
Amewekeza sana kwenye u-sasa na kila kitu chake sasa ni cha kisasa.
Shime linapokuja suala lihusulo uzalendo tujadili kizalendo.