Kama Nchi tusilale hasa vyombo vyetu vya huyo dogo anajitanua kwa kasi ya ajabu

Kama Nchi tusilale hasa vyombo vyetu vya huyo dogo anajitanua kwa kasi ya ajabu

Andiko hili na walione wahusika.

Pamoja na siasa zetu za kunyukana mara Sukuma gang,Msoga na wana kuupiga mwingi lakini kama Nchi tutambue tunalo tishio lililo bayana kabisa la yule 'dogo' naamini wengi mmenielewa hakika anakuja juu sana kimedani.

Si wa kupuuzwa tena!

Amewekeza sana kwenye u-sasa na kila kitu chake sasa ni cha kisasa.

Shime linapokuja suala lihusulo uzalendo tujadili kizalendo.
Vita ya jirani sio ya hardware tena. Hii milumbano yetu ya kiumbeya umbeya hadi ya wakuu wa mihimili tayari ni failure kwetu na ndio njia kupotezwa focus.
Kwanini marais wetu wanapenda kujibu wakikosolewa? Kwanini wasisonge mbele na maamuzi yao badala ya kujibizana na watu ambao kimsingi hawawezi kumzuia kufanya lolote.

Kuanzia sasa, waache tabia ya kuwajibu wanaowakosoa. Rais ni mtu mkubwa sana. Awaache watu wapige kelele zao bila kuwajibu.
Kuwe na kiwango cha criticism ambayo Rais anaweza kuitolea ufafanuzi.
Marais wetu hawajiamini kabisa wakati katiba inawalinda to its best.
 
Vita ya jirani sio ya hardware tena. Hii milumbano yetu ya kiumbeya umbeya hadi ya wakuu wa mihimili tayari ni failure kwetu na ndio njia kupotezwa focus.
Kwanini marais wetu wanapenda kujibu wakikosolewa? Kwanini wasisonge mbele na maamuzi yao badala ya kujibizana na watu ambao kimsingi hawawezi kumzuia kufanya lolote.

Kuanzia sasa, waache tabia ya kuwajibu wanaowakosoa. Rais ni mtu mkubwa sana. Awaache watu wapige kelele zao bila kuwajibu.
Kuwe na kiwango cha criticism ambayo Rais anaweza kuitolea ufafanuzi.
Marais wetu hawajiamini kabisa wakati katiba inawalinda to its best.
Usisahau Rais ni mwanamke.
 
TZ tuko vizuri uliona lile jiko la misosi linalo tumia mafuta ya taa/gesi katika maonyesho ya zana za kivita siku ya kumbukumbu ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika? Huwezi lipata nchi nyingine duniani.
 
Vita ya jirani sio ya hardware tena. Hii milumbano yetu ya kiumbeya umbeya hadi ya wakuu wa mihimili tayari ni failure kwetu na ndio njia kupotezwa focus.
Kwanini marais wetu wanapenda kujibu wakikosolewa? Kwanini wasisonge mbele na maamuzi yao badala ya kujibizana na watu ambao kimsingi hawawezi kumzuia kufanya lolote.

Kuanzia sasa, waache tabia ya kuwajibu wanaowakosoa. Rais ni mtu mkubwa sana. Awaache watu wapige kelele zao bila kuwajibu.
Kuwe na kiwango cha criticism ambayo Rais anaweza kuitolea ufafanuzi.
Marais wetu hawajiamini kabisa wakati katiba inawalinda to its best.
Aliye kuwa ana jibu jibu hivyo ni JPM mama naona ana ukimya sana
 
Back
Top Bottom