Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
NjeDogo gani? anajitanua toka nje au ndani?
We nae unashindwa kumtaja ndo maana uz reply ChacheAndiko hili na walione wahusika.
Pamoja na siasa zetu za kunyukana mara Sukuma gang,Msoga na wana kuupiga mwingi lakini kama Nchi tutambue tunalo tishio lililo bayana kabisa la yule 'dogo' naamini wengi mmenielewa hakika anakuja juu sana kimedani.
Si wa kupuuzwa tena!
Amewekeza sana kwenye u-sasa na kila kitu chake sasa ni cha kisasa.
Shime linapokuja suala lihusulo uzalendo tujadili kizalendo.
Au Polepole labdahuyu huyu Dogo janja, janjaro wa Arusha?
Dogo ana laana ya Maalim seif, hawezi loloteAndiko hili na walione wahusika.
Pamoja na siasa zetu za kunyukana mara Sukuma gang,Msoga na wana kuupiga mwingi lakini kama Nchi tutambue tunalo tishio lililo bayana kabisa la yule 'dogo' naamini wengi mmenielewa hakika anakuja juu sana kimedani.
Si wa kupuuzwa tena!
Amewekeza sana kwenye u-sasa na kila kitu chake sasa ni cha kisasa.
Shime linapokuja suala lihusulo uzalendo tujadili kizalendo.
Paul Makonda?Andiko hili na walione wahusika.
Pamoja na siasa zetu za kunyukana mara Sukuma gang,Msoga na wana kuupiga mwingi lakini kama Nchi tutambue tunalo tishio lililo bayana kabisa la yule 'dogo' naamini wengi mmenielewa hakika anakuja juu sana kimedani.
Si wa kupuuzwa tena!
Amewekeza sana kwenye u-sasa na kila kitu chake sasa ni cha kisasa.
Shime linapokuja suala lihusulo uzalendo tujadili kizalendo.
Huyu alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho na ulimwengu wa nyama.Paul Makonda?
Kansa ya nini chief? Mbona anaonekana healthy?Dogo anatafunwa na kansa, hofu hana amani ya moyo kwa kuukimbiza upepo kupambana na watu.Pia ashafika Saa kumi jioni.
You mean Zzk?Dogo ana laana ya Maalim seif, hawezi lolote