kama nchi yetu niya amani kwanini Rais anawalinzi wawili?

kama nchi yetu niya amani kwanini Rais anawalinzi wawili?

Rais wa JMT anaowalinzi wengi sana (Wanaoonekana dhahiri na wasioonekana).

Popote Rais wa JMT atarajiapo kwenda kuwa kuna TISS waliomitamboni ku-monitor eneo zima hilo na kwa umbali wa kilomita kadhaa toka eneo husika, nao huwasiliana moja kwa moja na kikosi cha Ulinzi wa Rais kilichopo eneo hilo.

Kwa viongozi wote wa Afrika, huwa ni lazima kuwa na askari kuwa nyuma ya Rais, na hii ni kutokana na udhaifu kiteknolojia tuliyonayo barani Afrika.

Kwa USA, YUROPA na UCHINA hali ni tofauti. Hutoona walinzi au askari kumzonga Rais au Premier hadharani.

Pale Uganda, misafara ya Museveni ni utadhani wakielekea vitani kwa silaha, inaogofya uwapo Kampala na ukashuhudia msafara wake iwapo ni mgeni.

Juu ya yote, hata kama nchi inausalama kupitiliza...lazima Rais wa JMT.
 
kwani wale ni madaktrai au ni mabaunsa?

Wale ni both, madaktari na mabaunsa. Hapiti mtu pale na kama rais akijeruhiwa haraka kabla daktari hajaja hao ndio wanamhudumia first aid. Ila kwa Tz unakaa naye mpaka uzeeni bila hata kuinua mkono. Watz ni wacha Mungu. Hawataki makuu. Angalia Nigeria, Ghana Somalia. Huko, kuitafuta kazi hiyo yatakiwa ujikane kwanza. Wakati Tz watu wanalogana ili waipate kwani ni kula tu kiulaiiiini
 
kwa upeo wako walinzi wawili wanaweza kumlinda rais.
 
....wawilii...??kaulize kwanza,ni wa kumwaga....
 
hii ni sawa na kuacha mlango wako wazi kisa mtaani kwenu hakuna matukio ya wizi.
 
Wako standby kumsaidia pindi atakapoonyesha dalili za kutaka kudondoka, si unajua jamaa ana ugonjwa wa kifafa!!!

Nahisi kama sio Bangi au Bongo utakuwa Chozi,anaeongoza nchi hii na KIFAFA......??? UKweli nimekeleka sana #%&§¥€ we......!!
 
Wako standby kumsaidia pindi atakapoonyesha dalili za kutaka kudondoka, si unajua jamaa ana ugonjwa wa kifafa!!!

Nahisi kama sio Bangi au Bongo utakuwa Chozi,anaeongoza nchi hii na KIFAFA......??? UKweli nimekeleka sana #%&§¥€ we......!!

Kwa maisha yalivyo magumu sa hivi lazima kauli hizi ziwepo


Kuna jamaa yeye katukana kabisa hakafu akarekodiwa... igunga huko. Video imesambaa whatsapp
 
nimekua nikishangazwa mara nyingi rais wetu anapokuwa akihutubia mikutano ,semina,warsha nk huwa anakuwa na walinzi wawili hii nikwanini?wakati tunaamini nchi yetu ni ya amani ,,
amani ipo lakini kuna maadui wa hii amani kama wewe ambao haiwafurahishi kwa kuwa kula yao inatokana na maandamano
 
Nadhani hii mipango ni ya usalama wa Taifa wenyewe.

Ikitokea la kutokea lawama watapewa wao wana usalama na mkuu unaweza kupoteza kazi.

Wanafanya hivyo kujiweka kwenye safe side tu wasipate matatizo.

Tanzania ni nchi ya amani ndio lakini mabomu yalilipuka kwenye ubalozi wa marekani mwaka 1998
 
walinzi kazi yao ni kulinda vitu visiibiwe, hawalindi amani.kwani amani haiwezi kupotea.
 
kuwa na amani haimaanishi kutokuweza kumdhuru Rais wetu, wale ni security detail na pia aide/private assistant wake
 
amani ipo lakini kuna maadui wa hii amani kama wewe ambao haiwafurahishi kwa kuwa kula yao inatokana na maandamano

maadui wapo mkuu tena wengi.ukitaka aman jiandae kwa vita c una ona mmarekan asumbuliw kwenye ardhi yake,ujinga anataka ufanyike kwenu 2
 
Back
Top Bottom