Kama ndo ukweli huu! Siungi mkono Beno kurejea Jangwani maana alimdharau Kocha

Acha maneno mingi ...ameshavunja mkataba aende mbele zaidi anapoona panamfaa lakini sio Yanga tena
 
Hakuna mtu aliyesainishwa .eti lazima acheze. Mchezaji yeyote anaweza kuamua kuacha na kuondoka hata wachezaji wa Simba wakitaka. Hakuna contract isiyoweza vunjwa, as long as terms are met.
Coastal Union ni timu kongwe pia, mbona hailipi vizuri?
Pia, tusilazimishe kuwa mfumo fulani ndio effective, mbona hatuoni results za hizi major investments?
 
Then, soka la Bongo halijawa biashara kiivo ndo maana bingwa napewa million 70-80 lakini unasikia anasajiliwa mchezaji million 100
 
Etoo akiwa kapteni wa timu ya taifa alishawahi kuongoza mgomo kwa sababu malipo
Eto alikuwa anatoa hela yake kwaajili ya wenzake alichokifanya ni kuwapinga viongozi wa shirikisho kutotoa posho wakati hela ipo
 
Sasa akimsamehe mtatulia sio
 
Kwa kurudi yanga ndiyo haki yake imetendeka? Mimi nadhani watetezi wake wange mshauri kutumia vyombo husika kadiri ya mkataba wake, badala ya kushinda mnalia humu kwenye mitandao.
Ombeni awaonyeshe mkataba unaosema usipolipwa gomea mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atatajirikaje wakati timu yake haimpi pesa zake halali ?
 
Acha kumtishia Simba wa kuchora wewe mpira siku hizi pesa sasa mtu anadai chake mnamuita msaliti ??
 
Acha kumtishia Simba wa kuchora wewe mpira siku hizi pesa sasa mtu anadai chake mnamuita msaliti ??

Jibu lake ni rahisi...kwa wapenzi wa Simba Beno siyo msaliti ila kwa wanajangwani Beno ni msaliti na hawezi kurudishwa Yanga...kama mnamtaka nyie Simba mchukueni...
 
Jibu lake ni rahisi...kwa wapenzi wa Simba Beno siyo msilati ila kwa wanajangwani Beno ni msaliti na hawezi kurudishwa Yanga...kama mnamtaka nyie Simba mchukueni...
Hii ni dunia ya kibepari pesa ndo kila kitu kwa hiyo mnamkosea heshima Kakolanya kudai hela zake !!!!
 
Hii ni dunia ya kibepari pesa ndo kila kitu kwa hiyo mnamkosea heshima Kakolanya kudai hela zake !!!!

Yaani huyo Kakolanya alikuwaq ana hela zake Yanga??!! This is interesting....Aliziachaje huko??? Anyway tukija kwenye point yako ni ubepari wa wapi unaosema kuwa 'unaruhusiwa' kugoma?...Ubepari ninaoufahamu mimi umeweka njia za kutatua kama ipo migogoro ...kama una madai mahali basi unafuata procedures...unatumia ngazi zilizopo...kwa upande wa mpira unaweza kwenda kwenye ngazi ya TFF na pengine hata baadhi ya vyombo vya dola..au ukiona TFF inakusumbua unaenda huko kwenye vyombo vya FIFA kutatua tatizo lililopo...ubepari hautaki migomo ya kijinga...sasa huyo Beno 'wenu' akadanganywa na huyo meneja wake...timu imo kambini yeye meneja wake inasemekana akaenda huko usiku wa manane akawa anamsubiri kwenye gari...inawezekana mi-simba ilikula njama ikaona njia ya kuihujumu Yanga ni kumshawishi huyo Beno agome au asusie timu ili kushinikiza kinachoitwa madai yake...This is against capitalism...sasa Yanga wakaona isiwe neno wakamwacha...sasa huyo Beno hawezi kupata madai yake, kwani amegoma which is against sheria za kazi...
 
Mchukue ukamtafutie timu yenye pesa yanga hawamtaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona anatuma watu kuomba harudishwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…