Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,056
Niwe wa kwanza kumshauri bila kupoteza muda.
Apende na azingatie sana MUDA
Kila jambo alifanye kwa muda wake...
Ajali sana matumizi mazuri ya PESA.
Pesa ni kama maua...
Atambue umuhimu wa JAMII inayomzunguka.
Apende kusaidia na kushiriki katika maswala ya jamii...
Awekeze sana kwenye kusoma VITABU
Asome vitu mbalimbali sio vya darasani tuu.
MITANDAO ya kijamii aitumie vizuri.
Ajue kuna kila aina ya watu atakutana nao huko na fursa kibao...
Apende sana kufanya KAZI
Amjue MUNGU wake na asipende VILEVI kwan bado hajafikia level ya kuweka vitu.
Ajifunze kiwa na MALENGO
Ajue anataka kuwa nani maishan
MARAFIKI pia aanglie sana asije ongozana na marafiki wabaya wakampotosha.
Ile ndoto ya kuwa RAISI kama anayo namshauri aachane nayo kwanza kwan haina uhalisia (realistic) awe na ndoto ambayo itampa changamoto za kutatua kwanza matatizo yake ya kila siku.
Apende kuwa MSIKIVU kuliko kuongea
Ushauri ninao mwingi lakini kila mtu najua angesema la kwake kutoka moyoni analoamini litamsaidia kijana huyu anapoingia mtaani.
Nakaribisha japo kwa sentesi moja tuu..mfano,huyo dada/kaka anayezani ndio atakuja kuwa mke/mme wake afikirie mambo mengine kwanza uwezekano ni mdogo sana.
Asanteni.
Apende na azingatie sana MUDA
Kila jambo alifanye kwa muda wake...
Ajali sana matumizi mazuri ya PESA.
Pesa ni kama maua...
Atambue umuhimu wa JAMII inayomzunguka.
Apende kusaidia na kushiriki katika maswala ya jamii...
Awekeze sana kwenye kusoma VITABU
Asome vitu mbalimbali sio vya darasani tuu.
MITANDAO ya kijamii aitumie vizuri.
Ajue kuna kila aina ya watu atakutana nao huko na fursa kibao...
Apende sana kufanya KAZI
Amjue MUNGU wake na asipende VILEVI kwan bado hajafikia level ya kuweka vitu.
Ajifunze kiwa na MALENGO
Ajue anataka kuwa nani maishan
MARAFIKI pia aanglie sana asije ongozana na marafiki wabaya wakampotosha.
Ile ndoto ya kuwa RAISI kama anayo namshauri aachane nayo kwanza kwan haina uhalisia (realistic) awe na ndoto ambayo itampa changamoto za kutatua kwanza matatizo yake ya kila siku.
Apende kuwa MSIKIVU kuliko kuongea
Ushauri ninao mwingi lakini kila mtu najua angesema la kwake kutoka moyoni analoamini litamsaidia kijana huyu anapoingia mtaani.
Nakaribisha japo kwa sentesi moja tuu..mfano,huyo dada/kaka anayezani ndio atakuja kuwa mke/mme wake afikirie mambo mengine kwanza uwezekano ni mdogo sana.
Asanteni.